Dalili Za Asiyekupenda Kwa Dhati

Fidel80 its true kwamba hakuumia,ulikua ni uamuzi mgumu lakini ilibidi na namshukuru sana Mungu aliniwezesha kuvuka hapo.
 
Fidel80 its true kwamba hakuumia,ulikua ni uamuzi mgumu lakini ilibidi na namshukuru sana Mungu aliniwezesha kuvuka hapo.

Umeona sasa kumbe alikuwa anasehemu ya kuegemea wewe alikuweka kama spare ikibust yakule anachukua spare lakini si ukaona pale ilipo bust tu kule ikabidi akutafute akuweke spare tena uendelee kumliwaza na mwendelee kugawana umaskini.Mungu wako mkubwa alikuepusha.
 
Yeah Fidel80 Mungu wangu ni mkubwa sana na ananipenda mno.
 
You are very right,ameshanipa mwingine ambaye ni mnyenyekevu na hana hizo kauli chafu.Namshukuru Mungu sana kwa hilo. Umenichekesha na wewe pia ni mnyenyekevu?
 
You are very right,ameshanipa mwingine ambaye ni mnyenyekevu na hana hizo kauli chafu.Namshukuru Mungu sana kwa hilo. Umenichekesha na wewe pia ni mnyenyekevu?

Hahahahaha yeah.
Muulize Nyamayao ananipata sana na ni muwazi kwakweli.
 
Nitamwuliza Nyamayao kwa muda wangu,Happy Easter am quiting.
 
Nitamwuliza Nyamayao kwa muda wangu,Happy Easter am quiting.

Powa hapa mpaka j4 yaani raaaaaaaaaaaha tupu ningekuwa na g/f naenda zangu nae mbugani kuburudisha macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…