1. Kikohozi kikavu ambacho hakisikii antibiotic mfululizo kwa zaidi ya wiki mbili.
2. Kutoka jasho usiku, ambalo linalowanisha hadi nguo ulizolalia.
3. Homa hasa usiku
4. Kukonda
5. Ukipima makohozi yataonyeha uwepo wa bacteria ingawa si wakati wote.
Wakti mwingine unaweza kukohoa damu.