OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 113
- 172
DALILI ZA MIMBA BILA KUWA NA MIMBA
▪Ni Mimba ya uongo inayofahamika kitaalamu kama (Pseudocyesis) ni muonekano wa dalili zote za ujauzito anazopata mwanamke wakati kiuhalisia hana ujauzito.
👉 Mwanamke anaweza kuwa na dalili zote za ujauzito kama kutapika mara kwa mara, shida ya kulala na hata kukosa hedhi lakini vipimo vikaonesha kutokuwepo kwa ujauzito.. Hii hali pia husababishwa na mvurugiko wa vichocheo mwilini.. (Hormonal imbalance)
Maswali // Ushauri
Karibu
▪Ni Mimba ya uongo inayofahamika kitaalamu kama (Pseudocyesis) ni muonekano wa dalili zote za ujauzito anazopata mwanamke wakati kiuhalisia hana ujauzito.
👉 Mwanamke anaweza kuwa na dalili zote za ujauzito kama kutapika mara kwa mara, shida ya kulala na hata kukosa hedhi lakini vipimo vikaonesha kutokuwepo kwa ujauzito.. Hii hali pia husababishwa na mvurugiko wa vichocheo mwilini.. (Hormonal imbalance)
Maswali // Ushauri
Karibu