Hakuna kitu kinaitwa israel mtoa roho. Just a theory made by arabic religion based on hate for israel.Israel sio mlaika mzuri huyu
- Wakuu leo nimekuwa nikijiuliza hivi dalili za kumendewa na Israel mtoa roho ni zipi?
- Pia,hivi israel mtoa roho ni wa Mungu au wa shetani?
- Utajuaje Israel kakuandalia visa ya kuzimu au peponi?
- Hivi Israel mtoa roho unamuogopa?
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mods uzi wangu mumeufanyia matunguri mbona sioni viewers na wachangiaji?
HahahahaMods uzi wangu mumeufanyia matunguri mbona sioni viewers na wachangiaji?
AhNi ziraili sio Israeli na pia hakuna dude, jitu au kitu kama hicho!.hyo iliasisiwa na waarabu baada ya kuwa wanapokea kipigo toka kwa wayahudi kiasi cha kufikia kusema roho zao zinatwaliwa na Israeli na kula myahudi kwao akawa ni mtoa roho!!
Rejea chanzo cha kila kituo cha mafuta kuitwa Shell kwa sababu kampuni ya shell ndo walikua wa kwanza kuwekeza kwenye vituo vya mafuta hapa nchini!
Mkuu ungeingia deep kuelezea hii habari ingekua poa sana..! Yaani umenishtua (sio kwa hofu ila kwa possibility ya ukweli wa hilo). So niweke nyama kidogo ktk hilo mkuu.Hakuna kitu kinaitwa israel mtoa roho. Just a theory made by arabic religion based on hate for israel.
Ukiona unapingana na jiwe hii na dalili ya kwanza kabisa
Nadhan Israel ashafanya yakeMods uzi wangu mumeufanyia matunguri mbona sioni viewers na wachangiaji?
Hiyo roho ya mauti kuitwa Iziraili mtoa roho ni hekaya tu za Uarabuni na chuki baina yao na Israel baada ya kuambulia vipigo vikali wanapikuwa kwenye medani za kivita. Na sisi Waswahili tumejikuta tu tunaingizwa katika tamaduni na vita vyao.Israel sio mlaika mzuri huyu
- Wakuu leo nimekuwa nikijiuliza hivi dalili za kumendewa na Israel mtoa roho ni zipi?
- Pia,hivi israel mtoa roho ni wa Mungu au wa shetani?
- Utajuaje Israel kakuandalia visa ya kuzimu au peponi?
- Hivi Israel mtoa roho unamuogopa?