Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Tunaposema fulani ni chizi au mwendawazimu tunamaanisha kuwa hatumii ipasavyo akili zake.
Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili.
Zifuatazo ni dalili za uchizi;
1. Kukataa mimba huku unajua ni yako.
2. Kujenga mbali na kazini kwako huku unajua kabisa kuwa huna usafiri .
3. Kutoa mimba
4. Kuvaa kondomu wakati wa kufanya mapenzi.
5.Kusuka nywele kisha unazichambua kama mchicha.
6. Kuvaa suruali iliyochanwa kwenye magoti au mapaja.
7.Mwanaume kuvaa hereni
8. Mwanaume kusuka.
9.Kujipiga picha kwenye majengo ya fahari kisha kurusha mitandaoni huku unalala kwenye kibanda umiza.
10. Kupost picha kila unaponunua nguo mpya.
Nitakuja kuendeleza mkeka
Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili.
Zifuatazo ni dalili za uchizi;
1. Kukataa mimba huku unajua ni yako.
2. Kujenga mbali na kazini kwako huku unajua kabisa kuwa huna usafiri .
3. Kutoa mimba
4. Kuvaa kondomu wakati wa kufanya mapenzi.
5.Kusuka nywele kisha unazichambua kama mchicha.
6. Kuvaa suruali iliyochanwa kwenye magoti au mapaja.
7.Mwanaume kuvaa hereni
8. Mwanaume kusuka.
9.Kujipiga picha kwenye majengo ya fahari kisha kurusha mitandaoni huku unalala kwenye kibanda umiza.
10. Kupost picha kila unaponunua nguo mpya.
Nitakuja kuendeleza mkeka