Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]utasutwaTunaposema fulani ni chizi au mwendawazimu tunamaanisha kuwa hatumii ipasavyo akili zake.
Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili.
Zifuatazo ni dalili za uchizi;
1. Kukataa mimba huku unajua ni yako.
2. Kujenga mbali na kazini kwako huku unajua kabisa kuwa huna usafiri .
3. Kutoa mimba
4. Kuvaa kondomu wakati wa kufanya mapenzi.
5.Kuguga nywele kisha unazichbua kama mchicha.
6. Kuvaa suruali iliyochanwa kwenye magoti au mapaja.
7.Mwanaume kuvaa hereni
8. Mwanaume kusuka.
9.Kujipiga picha kwenye majengo ya fahari kisha kurusha mitandaoni huku unalala kwenye kibanda umiza.
10. Kupost picha kila unaponunua nguo mpya.
Nitakuja kuendeleza mkeka
Tunaposema fulani ni chizi au mwendawazimu tunamaanisha kuwa hatumii ipasavyo akili zake.
Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili.
Zifuatazo ni dalili za uchizi;
1. Kukataa mimba huku unajua ni yako.
2. Kujenga mbali na kazini kwako huku unajua kabisa kuwa huna usafiri .
3. Kutoa mimba
4. Kuvaa kondomu wakati wa kufanya mapenzi.
5.Kuguga nywele kisha unazichbua kama mchicha.
6. Kuvaa suruali iliyochanwa kwenye magoti au mapaja.
7.Mwanaume kuvaa hereni
8. Mwanaume kusuka.
9.Kujipiga picha kwenye majengo ya fahari kisha kurusha mitandaoni huku unalala kwenye kibanda umiza.
10. Kupost picha kila unaponunua nguo mpya.
Nitakuja kuendeleza mkeka
Tunaposema fulani ni chizi au mwendawazimu tunamaanisha kuwa hatumii ipasavyo akili zake.
Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili.
Zifuatazo ni dalili za uchizi;
1. Kukataa mimba huku unajua ni yako.
2. Kujenga mbali na kazini kwako huku unajua kabisa kuwa huna usafiri .
3. Kutoa mimba
4. Kuvaa kondomu wakati wa kufanya mapenzi.
5.Kuguga nywele kisha unazichbua kama mchicha.
6. Kuvaa suruali iliyochanwa kwenye magoti au mapaja.
7.Mwanaume kuvaa hereni
8. Mwanaume kusuka.
9.Kujipiga picha kwenye majengo ya fahari kisha kurusha mitandaoni huku unalala kwenye kibanda umiza.
10. Kupost picha kila unaponunua nguo mpya.
Nitakuja kuendeleza mkeka
Is this true?
Hawa jamaa wanaambizana kabisa kama ndo mda umefika wakuharibu[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahaha[emoji23]Hawa jamaa wanaambizana kabisa kama ndo mda umefika wakuharibu[emoji38][emoji38][emoji38]
Tunaposema fulani ni chizi au mwendawazimu tunamaanisha kuwa hatumii ipasavyo akili zake.
Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili.
Zifuatazo ni dalili za uchizi;
1. Kukataa mimba huku unajua ni yako.
2. Kujenga mbali na kazini kwako huku unajua kabisa kuwa huna usafiri .
3. Kutoa mimba
4. Kuvaa kondomu wakati wa kufanya mapenzi.
5.Kuguga nywele kisha unazichbua kama mchicha.
6. Kuvaa suruali iliyochanwa kwenye magoti au mapaja.
7.Mwanaume kuvaa hereni
8. Mwanaume kusuka.
9.Kujipiga picha kwenye majengo ya fahari kisha kurusha mitandaoni huku unalala kwenye kibanda umiza.
10. Kupost picha kila unaponunua nguo mpya.
Nitakuja kuendeleza mkeka
Duh kweli una Moyo Sana kumjibu kwa kirefu namna hi?Kupitia uzi huu umejionesha kuwa nawe hizi dalili zaweza kuwa zinakuhusu.
1. Kujenga mbali inaweza kusababishwa na kipato kwamba mtu kashindwa kumudu gharama za viwanja maeneo ya karibu
2. Kuvaa kondomu sio tatizo kwani hata wana ndoa wanaweza vaa ili kuhakikisha mwanamke habebi mimba. Inawezekana hawataki mtoto na nyege zimepanda.
3. Kuweka bleach kwenye nywele ni fasheni tu kwa wengine. Wewe kama haikufai waachie wengine na ni uchizi kutaka kila mmoja anyoe kama wewe
4. Kuvaa suruali iliyochanwa pia ni fasheni kwa wengine na chizi pekee atataka wote wavae conventional jeans au suruali
5. Wanaume kuvaa hereni pia ni asili ya makabila mengi tu hata hapa kwetu na kwa wengine ni fasheni tu na ukikaa vibaya watapita hata na mkeo kwani haina maana yoyote kwenye their sexual orientation.
6. Kusema wanaume wanaosuka ni dalili ya uchizi pia mkuu.
Discalaimer
Nimetoa mtazamo wangu tu mkuu. Ila hayo yote ya kusuka, kuvaa nguo imechanwa, kuvaa hereni mie situmii ila naona ni dalili za uchizi kuanza kufuatilia maisha ya watu wakati yangu tu yananitoa jasho
Karibu
Kazini kwako kwa maana ya kuwa wewe ndo mmliki wa hiyo ofisi au ni mwajiriwa, ambaue wakati wowote kibarua kinaweza kuota nyasi!???Tunaposema fulani ni chizi au mwendawazimu tunamaanisha kuwa hatumii ipasavyo akili zake.
Kila mtu ana akili isipokuwa maiti ila utofauti unakuja kwenye matumizi ya akili.
Zifuatazo ni dalili za uchizi;
1. Kukataa mimba huku unajua ni yako.
2. Kujenga mbali na kazini kwako huku unajua kabisa kuwa huna usafiri .
3. Kutoa mimba
4. Kuvaa kondomu wakati wa kufanya mapenzi.
5.Kusuka nywele kisha unazichambua kama mchicha.
6. Kuvaa suruali iliyochanwa kwenye magoti au mapaja.
7.Mwanaume kuvaa hereni
8. Mwanaume kusuka.
9.Kujipiga picha kwenye majengo ya fahari kisha kurusha mitandaoni huku unalala kwenye kibanda umiza.
10. Kupost picha kila unaponunua nguo mpya.
Nitakuja kuendeleza mkeka