Watu wanatofautiana kwenye muda wa kuanza kuona dalili,ila normally kama yai limerutubishwa inaamana mwanamke alikua wiki mbili before hajaanza siku zakenaamanisha kama mzunguko wake ni wa siku 28,huwa limekomaa na kuachiliwa siku ya 11-17.kwahivyo ndani ya hizo wiki mbili za mwisho ili kufikia hedhi ya mwezi unaofuata kama atakua kapata ujauzito dalili ya kwanza kabisa ni kukosa hedhi....ila pia wengine ndo huanza kuumwa matiti,kichefuchefu na kutapika hasa wakat wa asubui,kuchagua chakula nk....Muhimu kupima mimba mapema ili kuanza clinic mapema.....
All the best mkuu.......