Dalili za wanawake wanaosaliti ndoa zao……………!

aah halafu wewe gee....unapenda tunda gani? Apple au Blackberry...???lol

I like an apple ....a white apple for that matter, thank you very much :]

Gaijin kumbe ni 'kulipuka pamba'na perfume tu ..lol
sina haja ya live chicken lol

Kulipuka pamba unaona kazi ndogo? inataka ufundi na ustadi ......

kisha kuna wengine perfume harufu utasema shombo la dagaa ....agggrrrrr
 
Boss lakini anajidai kuvunga hapa tu asitengwe na kina Babu DC kaelekea mhongaji mashuhuri huyo. Keshawahi kusema katoa Black Berry ...:]]

hahahaaaaaa Geee maweeeeeeee!!!!

natamani nimuulize kitu aisee....lol!!

eti wewe ndo akuletee vumbi la mkaa ushikwe na mafua....khaaa!!!
 
I like an apple ....a white apple for that matter, thank you very much :]



Kulipuka pamba unaona kazi ndogo? inataka ufundi na ustadi ......

kisha kuna wengine perfume harufu utasema shombo la dagaa ....agggrrrrr

hiyo perfume ya shombo la dagaa sijawahi isikia aisee...lol
natamani ungeuliza na jina lake ....lol
 
I like an apple ....a white apple for that matter, thank you very much :]



Kulipuka pamba unaona kazi ndogo? inataka ufundi na ustadi ......

kisha kuna wengine perfume harufu utasema shombo la dagaa ....agggrrrrr

hahaaaaaaa gongelea tena mama wa maromance...
asije kajikolezea AYU ukaumwa kichwa bure mwana wa mwenzie akhaa!!
 
hiyo perfume ya shombo la dagaa sijawahi isikia aisee...lol
natamani ungeuliza na jina lake ....lol


hahahah we unafikiri mas'hara! Kuna mtu anatia perfume kisha anavuja jasho .........huo mchanganyiko usiombe!

Bee huyu Boss anataka kujifanya mjanja, lakini wapi..........haumwi mtu kichwa na AYU ...lol

Mtwange suali .......
 
hahahah we unafikiri mas'hara! Kuna mtu anatia perfume kisha anavuja jasho .........huo mchanganyiko usiombe!

Bee huyu Boss anataka kujifanya mjanja, lakini wapi..........haumwi mtu kichwa na AYU ...lol

Mtwange suali .......

sasa mtu mwingine kaambiwa jasho lake lanukia pia..lol
unategemea nini....lol
swali limejibiwa huko huko aisee...lol
 
sasa mtu mwingine kaambiwa jasho lake lanukia pia..lol
unategemea nini....lol
swali limejibiwa huko huko aisee...lol

kweli mapenzi utoto, ukaambiwe jasho lako linanukia na wewe uamini kama si kupumbazwa kitu gani!

though i will have to admit, I like a rugged look on a man sometimes ....
 
Ni kweli sana mkuu, lakini hadi haya yatokee utakuwa umesalitiwa mara kibao tu...! Hakuna tena unachookoa, zaidi ni kuamua tu kushare au kuamua vinginevyo...!
 

Hizi zote pia huweza kuwa kwa mwanaume pia ila naongezea:

9. Kuoga mara tu arudipo nyumbani. Likely inatokana na kuondoa uwezekano wa utofauti wa usafi usio kawaida hasa kwa ile hali ya kubadilisha mazingira au kuondoa uwezekano wa kubadirika kwa harufu ambayo mume au mke amizoea. Lakini iwapo ni kawaida yake tangu kuingia kwenye ndoa hapo hii haitafanya kazi ila ikifatiliwa ina mashiko fulani

10. Kutumia muda mwingi kwenye sms au kuhakikisha simu iko mkononi mwake ata kama alipo ni salama (nyumbni)
Kama alizoea kuiacha simu kwa muda ata bila kujali; ataanza kuishikilia muda wote na wakati mwingine kuiweka silent au kwenye vaibration au kuipokelea maeneo ya ufichoni kama chooni pale awapo na mume au mke wake


HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA. MARA ZOTE WAARIFU HUDHANI HAWATAJULIKANA!
 
Ni kweli sana mkuu, lakini hadi haya yatokee utakuwa umesalitiwa mara kibao tu...! Hakuna tena unachookoa, zaidi ni kuamua tu kushare au kuamua vinginevyo...!

Yaani jamaa litakuwa limeshamchoka. La msingi ni kuaminiana. Hapa mkuu nakuunga mkono na miguu pia.
 
and for this you just get a smile 🙂
And smile was all I needed.

unajua kuwa some guy can fall for a woman for just the 'taste she has for some stuffs'???lol
naona Kloro ana google miini cooper hapo lol
hahaah The Boss bana
amepata a smile today..so you never know with women ...lol

but kuhusu taste...mbona hata some women pia nimesikia na kuona...
Perfecto


hehehe jibaba nilikuwa na mteja wa mkaa namserve kidogo. Nimelejea
 

Ndio maana imeandikwa, mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake mwenyewe. Hizo mbili nilizonukuu hapo wanawake wengi huingia kwenye matatizo makubwa kwa tabia hizo. Wanasahau kwamba mwanaume anaweza kuwa anaona raha ''kula mke wa mtu'' tu basi. Lakini mwanamke huyo akishaachana na muwewe anaweza asimwone tena huy mwanaume. Anakuwa anapendwa pale anapokuwa ndani ya ndoa au mahusiano; anapoachwa anakosa thamani!
 
Dalili nyingine ni hii, Ukishika simu yake anakuwa na wasiwasi au anakuwa mkali. Hali hii hujitokeza pia kwa wanaume wasiowaaminifu hasa kama alisahau kudelete sms.
 
Hivi kuna mwanaume anaweza kuvumilia mke anayepokelea simu chooni.
Nakumbuka kuna siku nilitoka nje kuongea na simu na ilikuwa inatoka kwa mdogo wangu tulikuwa tunateta mambo ya home mbona hubby alinipokonya simu nilivyorudi tu ndani.


Wanaume ni too possessive. Ujinga wa sijuhi 'simu ni personal' tunakubali sisi wanawake si wanaume.

Umeona eeh! eti waifu anaenda kupokelea simu chooni halaf aschunguzwe. Mimi nachunguza yeye na ukoo wake wote!
 

ahahaa,klorokwin bana,msaidie mjomba wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…