Dalili zinazoashiria mpenzi wako wa kike anakuitaji

Dalili zinazoashiria mpenzi wako wa kike anakuitaji

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Hizi ni baadhi ya dalili zinazoashiria mpezi wako wa kike anataka penzi:-
  • Ukimuuliza swali anakujibu kwa lugha ya ukali
  • Akianza kukusemesha yeye ataongea kwa taratibu bila kujiamini
  • Anaweza kukuuliza kitu kisichokuwa na maana yoyote na ukahisi labda ana akili za kitoto
  • Anasahau sahau kitu alichotaka kuzungumza
  • Akitembea anakuwa anatikisa makalio
  • Sehemu uliyokaa, anakuwa anakufuata fuata
  • Akikutazama anakulembulia macho
  • Kama amekaa sehemu, anakuwa amezubaa
  • Ukimtuma akuletee kitu anakuwa mbishi
  • Anakuwa anajilaza laza
  • Ukitaka kuondoka anakuzuia, au anakutafutia sababu usiondoke
  • Anakuwa anakuita mara kwa mara chumbani
  • Anakuwa anajifunua nua
  • Anakuwa anaangaika angaika kwenye kukaa n.k
 
IMG_20211103_181046.jpg
 
Ata ng'ombe huwa anapiga kelele nyingi pale anapohitaji huduma
Ndo nihangaike namna hiyo wakati namjua kuanzia utosini....Mkuu acha bwana sie wazee tunaambiana tu njoo mzee mwenzangu imeisha hiyo..
 
Ndo nihangaike namna hiyo wakati namjua kuanzia utosini....Mkuu acha bwana sie wazee tunaambiana tu njoo mzee mwenzangu imeisha hiyo..
Wengine wanashindwa kukuambia, wanakupatia ishara tu
 
Hayo mambo wanafanya watoto ila wale makonkodi anakwambia tu kwanini ajifie na utamu wake
 
Hizi ni baadhi ya dalili zinazoashiria mpezi wako wa kike anataka penzi:-
  • Ukimuuliza swali anakujibu kwa lugha ya ukali
  • Akianza kukusemesha yeye ataongea kwa taratibu bila kujiamini
  • Anaweza kukuuliza kitu kisichokuwa na maana yoyote na ukahisi labda ana akili za kitoto
  • Anasahau sahau kitu alichotaka kuzungumza
  • Akitembea anakuwa anatikisa makalio
  • Sehemu uliyokaa, anakuwa anakufuata fuata
  • Akikutazama anakulembulia macho
  • Kama amekaa sehemu, anakuwa amezubaa
  • Ukimtuma akuletee kitu anakuwa mbishi
  • Anakuwa anajilaza laza
  • Ukitaka kuondoka anakuzuia, au anakutafutia sababu usiondoke
  • Anakuwa anakuita mara kwa mara chumbani
  • Anakuwa anajifunua nua
  • Anakuwa anaangaika angaika kwenye kukaa n.k
Watu wa jf walivyo na nongwa watakuja na kusema eti form two wamemaliza mtihani
 
Back
Top Bottom