#COVID19 Dalili zingine za Omicron

Si kila mwenye dalili hizi ni mgonjwa wa omicron, bali dalili za omicron ni hizo.
 
Pole sana mkuu kama ulijaribu kupatwa na omicron.
 
Watanzania wishalipita huko kwenye Omiricon kwa sasa tunasibiri kirusi kipya
Ni kweli kabisa kipinda cha Disemba Miji mingi upepo huo wa homa za ajabu na mafua zilitupata Mungu amejalia
Watanzania tujipe moyo, hili gonjwa km lilishatupitia hebu tuangalie January, February na March huenda tukavuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…