Dalili zipi zikionekana zitamaanisha deni la Taifa linaenda kutohimilika?

Dalili zipi zikionekana zitamaanisha deni la Taifa linaenda kutohimilika?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Habarini.

Kila siku tumekuwa tunaambiwa deni la nchi linahimilika deni linahimilika, tunakopesheka. Naogopa isije asubuhi moja tukashangaa tunaambiwa deni halihimiliki na hatukopesheki.

Naomba kujua ni dalili gani zikionekana au hesabu za madeni zikikaa namna gani ni ishara kuwa deni linaelekea kutohimilika.
 
Ukiona bodaboda ndiye anachukuliwa kuwa tajiri zaidi kwenye mtaa ujue deni la taifa halihimiliki.
 
Habarini. Kila siku tumekuwa tunaambiwa deni la nchi linahimilika deni linahimilika, tunakopesheka. Naogopa isije asubuhi moja tukashangaa tunaambiwa deni halihimiliki na hatukopesheki. Naomba kujua ni dalili gani zikionekana au hesabu za madeni zikikaa namna gani ni ishara kuwa deni linaelekea kutohimilika.
Ukienda kukopa hupewi mkopo!
 
Very soon tutakuwa kama Kenya, Kenya kwa sasa hawana dollar kabisa
 
Back
Top Bottom