Damas Ndumbaro atupwa jela ya soka miaka 7

Tokea lini uvaaji wa nguo ukahitaji ruhusa ama uhakiki wa uraia?

Hivi huyu Waziri bado yupo madarakani kweli? Amekiuka Katiba ya nchi
Kachemka, wakati timu zinajitahidi kupata mashabiki nje ya nchi zao lakini yeye analeta mambo ya ajabu, issue hapo Kila timu ihakikishe mashabiki zake wanajaza uwanja ambapo automatically hata wakija watu wamevaa jezi ya mgeni wanafunikwa.

Tunataka tuondoe uhalisia wa soka letu Kwa upande mashabiki
 
Kwahiyo mtu akivaa nguo ya njano awe na paspoti ya Afrika kusini au hata ya Rwanda?

Na wanaovaa chupi nyekundu wawe wanatembea na paspoti za Misri?

Huyu mzembe wa kufikiri. Si wataingia nazo kwenye mifuko na kizivaa uwanjani
Halafu ni msomi na mwanasheria...
Nchi ina hazina ya viongozi bogus
 
Kwahiyo mtu akivaa nguo ya njano awe na paspoti ya Afrika kusini au hata ya Rwanda?

Na wanaovaa chupi nyekundu wawe wanatembea na paspoti za Misri?

Huyu mzembe wa kufikiri. Si wataingia nazo kwenye mifuko na kizivaa uwanjani
Poor reasoning.
 
Ndo maana walimfungia zero brain.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…