Damn! Unaanzaje kumfananisha STAMINA na FA, Mnanioffend Brothers

Msamiati

R I P
Joined
Mar 6, 2011
Posts
1,063
Reaction score
700
Nipo ofisini hapa, imezuka hoja inayosema Mwana FA ni mwandishi mzuri zaid wa mashairi kuliko Stamina, kwakweli tumezozana sana. Wao wanadai eti nyimbo nyingi za mwana FA zimeasha misemo kwenye jamii,

lakini mimi hoja yangu kubwa ni ukali wa mistari ya Stamina nikajaribu kuwapa mifano kibao, Mwisho nikagundua kuwa ili uelewe mistari inayoshushwa na Stamina inahitaji angalau Degree 2.

Hebu nipeni mawazo yenu nani Mkali hapa kwenye uandishi wa mistari

cc: Mphamvu MR. CONFIDENT
 
Last edited by a moderator:

Kwa hiyo wewe una shahada mbili? Kwangu Mimi Mwana FA ni mkali kumlinganisha na Stamina ni kutotenda haki!
 
Last edited by a moderator:
"Sinung'uniki sina viatu wengine....... ila jamaa anajua sana kuimba na ni wa long time kitambo japokuwa hata stamina mashairi yake yako poa.So kwangu mie kura yangu inaenda kwa binamu
 
"Sinung'uniki sina viatu wengine....... ila jamaa anajua sana kuimba na ni wa long time kitambo japokuwa hata stamina mashairi yake yako poa.So kwangu mie kura yangu inaenda kwa binamu

Nilishakwenda shule bila viatu!
Nishatoa funza zaidi ya buku!

Daah! Nimepatikana! Huyu sch mate A level! Yule homeboy kitaa Morogoro! Keep good music alive!
 
Binamu namkubari hasa nikisikiliza fleva zake za kuanzia ngoma ya Binamu kurudi nyuma, tuliza boli, ungeniambia, alikufa kwa ngoma . . .
Stamina kuna baadhi ya punch line zake uwa sometimes naona za kitoto japokuwa naye yuko vizuri.
Mimi kura yangu nampa B
 
Kwa hiyo wewe una shahada mbili? Kwangu Mimi Mwana FA ni mkali kumlinganisha na Stamina ni kutotenda haki!

Hivi hiyo mistari mikali aliyowahi kuandika Mwana FA ni Ipi hebu orodhesheni hata kumi tu tuone
 
Hapo ni kufananisha ndala na viatu....ukisema sana utaonekana fyatu.....malizieni wadau ma free style
 
"Sinung'uniki sina viatu wengine....... ila jamaa anajua sana kuimba na ni wa long time kitambo japokuwa hata stamina mashairi yake yako poa.So kwangu mie kura yangu inaenda kwa binamu

Mwana FA:
"Sinung'uniki sina viatu wengine.......

Stamina:

Lady uliwapepeta madume bila salama, wavuvi uliwakeketa samaki wakaleta drama"


Kama unafikiria vizuri sema hapo nani mkari
 
Nimegundua MwanaFA Tangu aimbe Mimi na mabinti madada wameamua kumtunuku mahaba, hapa wanaomfagilia ni madada tu, wekeni hapa mistari mikari aliyowahi kuandika au ndio hiyo ya viatu ?!
 
Nimegundua MwanaFA Tangu aimbe Mimi na mabinti madada wameamua kumtunuku mahaba, hapa wanaomfagilia ni madada tu, wekeni hapa mistari mikari aliyowahi kuandika au ndio hiyo ya viatu ?!

Hivi wewe si umeomba ushauri baada ya huko kushindwana?Hayo ndio mawazo yetu sasa usitake kutulazimisha kuwa stamina mkali ili hali mambo yanajieleza.
 
Hivi hiyo mistari mikali aliyowahi kuandika Mwana FA ni Ipi hebu orodhesheni hata kumi tu tuone
Msikilize MwanaFa kwenye hizi track

Ingekuwa vipi
Alikufa kwa ngoma
Unanijua unanisikia
Mchizi wangu-Remix
Mfalme
 
Hivi hiyo mistari mikali aliyowahi kuandika Mwana FA ni Ipi hebu orodhesheni hata kumi tu tuone

Naomba nisikupotezee muda kukuwekea mistari unacho takiwa ni kusoma comments za wadau utapata majibu! Ni aibu kumlinganisha Stamina Mwanafalsafa

Stamina size yake ni Msodoki!
 
Naomba nisikupotezee muda kukuwekea mistari unacho takiwa ni kusoma comments za wadau utapata majibu! Ni aibu kumlinganisha Stamina Mwanafalsafa

Stamina size yake ni Msodoki!

Achana na msodoki next level, Siku ikitokea colabo ya youngkiller, Stamina na FA ndio mtaelewa ninachomaanisha. Kwanza msodoki nuksi, hachelewi kuumbua mtu. we huoni kwenye jana na leo STamina alivyopumulia pua moja? au ile colabo yake na fid Q?

Mwana FA hawezi kwenda kuumbuka kwa kufanya colabo na Killer na siku akijaribu tu ndio mauti yake
 

Kumbe na wewe una ofisi?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…