McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Naomba nisikupotezee muda kukuwekea mistari unacho takiwa ni kusoma comments za wadau utapata majibu! Ni aibu kumlinganisha Stamina Mwanafalsafa
Stamina size yake ni Msodoki!
Kumbe na wewe una ofisi?
Nilishakwenda shule bila viatu!
Nishatoa funza zaidi ya buku!
Daah! Nimepatikana! Huyu sch mate A level! Yule homeboy kitaa Morogoro! Keep good music alive!
stamina mwenye mistari" hata mzungu mweupe ana kivuli cheusi" ndo wA kumfananisha na FA??...kila mstari wake ana anaweka kama...
HAMIS MWINJUMA NI MWANDISHI MZURI TATIZO NI KUGEUZWA ZIPU LA POCHI NA KUSAGA AND Co.
Teh! Mkuu kura yako sijaona ilipodondoke a
msanii gani ukimtoa Jide hayupo kwenye hiyo list ya kina kusaga?
Deo Corleone mambo vipi mkuu kitambo sana ! dah nashindwa ata kukujibu sina tafiti sahihi hii kwa sababu ya geographical location and too much busy kufuatilia nani yupo na nani hayupo upande wa mawingu. Thanx.
Teh! Mkuu kura yako sijaona ilipodondoke a
we good,we cool!! wasanii wote hawapindui pale mawingu!!
unawajua wale mapacha wa ant virus vinega?
wale walienda kupiga magoti kwa Ruge baada ya kupigika kitaa.
ni mentality ya wasanii wetu kila wakishindwa lawama kwa mawingu na wanaamini hawawezi kutoboa bila wao!!
let's back to the topic
Binamu namkubari hasa nikisikiliza fleva zake za kuanzia ngoma ya Binamu kurudi nyuma, tuliza boli, ungeniambia, alikufa kwa ngoma . . .
Stamina kuna baadhi ya punch line zake uwa sometimes naona za kitoto japokuwa naye yuko vizuri.
Mimi kura yangu nampa B