Habari za majukumu wakuu, kwa wale wataalam wa afya. Je ni kawaida kwa mwanamke kuwa na damu inayoteleza wakati anapoanza siku zake ( menstruation cyle)? Tafadhali naomba msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.