Damu kuganda kwenye ubongo

Damu kuganda kwenye ubongo

qtie

Member
Joined
Feb 3, 2017
Posts
33
Reaction score
11
Tatizo la damu kuganda kwenye ubongo kwa mtoto husababishwana nini? Anayejua tafadhal naomba msaada kwani kuna mtoto amepoteza faham anapumua kwa mashine yaan kifupi hali yake ni mbaya. Madaktari wamesema damu imeganda kwenye ubongo. Hii husababishwa na nini?
 
Tatizo la damu kuganda kwenye ubongo kwa mtoto husababishwana nini? Anayejua tafadhal naomba msaada kwani kuna mtoto amepoteza faham anapumua kwa mashine yaan kifupi hali yake ni mbaya. Madaktari wamesema damu imeganda kwenye ubongo. Hii husababishwa na nini?

Mkuu si uwaulize madaktari hapo, watakupa majibu mazuri kabisa. Poleni sana mkuu, ugueni pole
 
Inaonekana mtoto amekula m_bono yaani amegonga kichwa na kusababisha damu kuvia na kuganda...
 
Back
Top Bottom