ngirimjane
Member
- Jun 17, 2014
- 8
- 1
Heshima yenu wanajukwaa, ninahisi nina tatizo, naomba ushauri wenu. usiku wa kuamkia leo nilipatwa na wet dream, asubuhi kulivyokucha wakati niko bafuni nimekuta semen zilizochanganyika na damu damu kwenye nguo yng ya ndani.
Nilishtuka kidogo coz sijawahi ona kitu kama hicho. Nililazimika ku masturbate ili nihakikishe kama kwenye semen kuna damu. Baada ya zoezi nilicofirm kama semen zimechanganyika na damu.
Naomba nielimishwe juu ya hili (km tayari nna parasites, wameniingiaje, na matibabu yake ni yapi?).
Help pls nahisi ni tatizo kubwa.
Nina miaka 30, sijaoa na sina kawaida ya kufanya ufuska/ngono zembe...
Nilishtuka kidogo coz sijawahi ona kitu kama hicho. Nililazimika ku masturbate ili nihakikishe kama kwenye semen kuna damu. Baada ya zoezi nilicofirm kama semen zimechanganyika na damu.
Naomba nielimishwe juu ya hili (km tayari nna parasites, wameniingiaje, na matibabu yake ni yapi?).
Help pls nahisi ni tatizo kubwa.
Nina miaka 30, sijaoa na sina kawaida ya kufanya ufuska/ngono zembe...