Ilikuwa ni Mei 2011 kijana mdogo katika mji wa Deraa mji mdogo nchini Syria karibu na mpaka wa Jordan.
Kama ilivyo tawala zaki imla kijana huyu mwenye umri wa miaka 13 alirudishwa kwa familia akiwa amecharangwa na umeharibiwa vibaya na maofisa usalama wa Syria baada yakuwa amekamatwa kwenye maandamano.
Ambapo kifo chake kilisababishwa nakuandika maandiko yakupinga utawala wa Assad kwenye kuta za shule. Maandiko yalio sababisha maandamano ktk Taifa la Syria.
Jambo utawala haukujuwa nikuwa dam yakijana yule haikupumzika iliendelea ku hant down Taifa mpaka mwaka huu Assad alivyo ondolewa madarakani na walio mwaga dam kulipa dam ile.
Sio kila dam niyakumwaga kuna dam ukimwaga inaliangusha Taifa haijalishi ni miaka mingapi. Tangu mwaka 2011 mpaka 2025 Assad hajapumzika nimwendo wa maandamano na mapinduzi yakinukia mpaka yalipo kuwa kweli. Tetesi zinasema uwenda na yeye Atalala. Muda na wakati sote hatujuwi.
Mama wa mtoto alisema maneno magumu ambayo leo yanetimia.
Ushauri
Taifa halijengwi juu ya misingi ya dam ya wanasiasa wa wataifa lake ila dhidi ya wahaini juu ya Taifa lao.
Kama ilivyo tawala zaki imla kijana huyu mwenye umri wa miaka 13 alirudishwa kwa familia akiwa amecharangwa na umeharibiwa vibaya na maofisa usalama wa Syria baada yakuwa amekamatwa kwenye maandamano.
Ambapo kifo chake kilisababishwa nakuandika maandiko yakupinga utawala wa Assad kwenye kuta za shule. Maandiko yalio sababisha maandamano ktk Taifa la Syria.
Jambo utawala haukujuwa nikuwa dam yakijana yule haikupumzika iliendelea ku hant down Taifa mpaka mwaka huu Assad alivyo ondolewa madarakani na walio mwaga dam kulipa dam ile.
Sio kila dam niyakumwaga kuna dam ukimwaga inaliangusha Taifa haijalishi ni miaka mingapi. Tangu mwaka 2011 mpaka 2025 Assad hajapumzika nimwendo wa maandamano na mapinduzi yakinukia mpaka yalipo kuwa kweli. Tetesi zinasema uwenda na yeye Atalala. Muda na wakati sote hatujuwi.
Mama wa mtoto alisema maneno magumu ambayo leo yanetimia.
Ushauri
Taifa halijengwi juu ya misingi ya dam ya wanasiasa wa wataifa lake ila dhidi ya wahaini juu ya Taifa lao.