Leo kuna jamaa mmoja nimemsikia akisema wanawake wa baadhi ya makabila hapa Bongo wanaitumia damu hii kuwaangamiza waume zao waliowachoka.
Alinitajia makabila hayo ambayo kwa kweli yana kashfa za kutozeeka na waume zao hasa pale wanapokuja kuwa na fedha. Ukienda mikoa fulani hapa Bongo utasikia yule mwanaume amewekewa limbwata,kwa majibu ya huyu jamaa tayari ameshawekewa.
Nawasilisha!