Point less
Senior Member
- Jun 24, 2020
- 194
- 98
Yaani una toa bonge la uongo mbaka members waami kama ni kweli alafu una laugh au sio twende kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KhaaaHuyu ni Member wa JF na hapo ndio ofisi yake, huyo Client anafahamika vizuri sana hapa JF! Tuma buku na ya kutoka nikutumie Video kabisa
Karibu sana ofisini kwetu tukuhudumie hasa kipindi hiki cha Uchaguzi
Oh my!!Huyu ni Member wa JF na hapo ndio ofisi yake, huyo Client anafahamika vizuri sana hapa JF! Tuma buku na ya kutoka nikutumie Video kabisa
Ofisi yenu inajihusisha na masuala ya uchaguzi tu? Dawa za kumnasa mume wa mtu hamna?Karibu sana ofisini kwetu tukuhudumie hasa kipindi hiki cha Uchaguzi
Tunajihusisha na kila kitu hata ukitaka tukufanye uwe Mtoto wa Bilionea SaniniuOfisi yenu inajihusisha na masuala ya uchaguzi tu? Dawa za kumnasa mume wa mtu hamna?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow, nitakujaTunajihusisha na kila kitu hata ukitaka tukufanye uwe Mtoto wa Bilionea Saniniu
Advertisement kwanza vngine baadaeKaribu sana ofisini kwetu tukuhudumie hasa kipindi hiki cha Uchaguzi
Hahahaha wataka video??Advertisement kwanza vngine baadae
Kuna mime ya mtu unaitaka??
Awe labda avatar ila sio izo bob mwe mwe mwe mwe mweeee!Hahahaha wataka video??
NdioKuna mime ya mtu unaitaka??
Njoo na Jogoo shoga mmoja, kitambaa cha rangi ya hudhurungi, chupi yake na nywele zake tatu za chini ya "biology" yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jogoo shogaNjoo na Jogoo shoga mmoja, kitambaa cha rangi ya hudhurungi, chupi yake na nywele zake tatu za chini ya "biology" yake
HahaaKaribu sana ofisini kwetu tukuhudumie hasa kipindi hiki cha Uchaguzi
LolOfisi yenu inajihusisha na masuala ya uchaguzi tu? Dawa za kumnasa mume wa mtu hamna?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mam n kiboko khaaaahOfisi yenu inajihusisha na masuala ya uchaguzi tu? Dawa za kumnasa mume wa mtu hamna?
Sent using Jamii Forums mobile app