Dangerous player in the world

Dangerous player in the world

MENGISINA

Senior Member
Joined
Sep 16, 2022
Posts
123
Reaction score
225
Mchezaji ajulikanaye kwajina HAALAND mwenye umri wa miaka 21 amezidi kua tishio Duniani swali ni KWAMBA je HAALAND ni tishio? Kama watu wanavyo dai
 
Siyo tishio duniani, ni kwenye ligi zao, wachezaji wote tishio waoneshe uhatari wao kwenye world cup.
 
Haaland akikutana na beki wazur au timu yenye mikakati mizuri ya ulinzi hatoboi
 
Ni mzuri sana na ana record nzuri, lakini tumpe mda akiweza kucheza kwa kiwango kizuri kwa miaka zaidi ya mi5 kama cr7 na mesi ndio tutaamini ni tishio zaidi
 
Halaand magoli yake mengi yanatokana na kuweza kukaa kwenye nafasi. Hana maajabu sana.

Ndio maana inabidi apewe muda kwasababu ikitokea timu zikakaba nafasi anaweza kuingia kwenye ukame wa kufunga.
 
Kama unafikili ni rahisi kufunga Kama vile haaland anavofanya ,kamuulize Nunez,au Ronaldo mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]walivo na ukame wa magoli .....Ronaldo kafunga tu la penalty juzi kaenda kushangilia Kama kashinda cl [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halaand magoli yake mengi yanatokana na kuweza kukaa kwenye nafasi. Hana maajabu sana.

Ndio maana inabidi apewe muda kwasababu ikitokea timu zikakaba nafasi anaweza kuingia kwenye ukame wa kufunga.
Nikweli lakini amecheza mechi ngapi from _Dortmund na Manchester anakocheza saiv na Bado anafunga magoli..? Tuseme uleudhaifu was mabeki watimu pinzani ndio unaosababisha yeye kuwa maarufu zaidi na ukilinga Nisha umri alionao[emoji848]
 
Mchezaji ajulikanaye kwajina HAALAND mwenye umri wa miaka 21 amezidi kua tishio Duniani swali ni KWAMBA je HAALAND ni tishio? Kama watu wanavyo dai

Uefa champions league ana magoli mangapi?

Kama hajaongoza kuwa na magoli mengi UEFA CHAMPIONS LEAGUE Huyo ni wakawaida tu.
 
Haland ni mfungaji mzuri sana ila hajafikia uchezaji bora

Ningeenda pep amtumie kama winga ili aonyeshe zaidi kipaji
 
Back
Top Bottom