DANGOTE ANATUMWA NA CHADEMA

mwambadog

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
1,736
Reaction score
1,446
Wakuu

tupambane na dangote anatumiwa na CHADEMA wazalendo wenzangu tusikubali nchi kuhujumiwa na hawa wasio na uzalendo

Subscribe to read

kwanini alisumbue buldoza letu, aache uchadema, kupinga kila kitu

not to that extent
 
Mbona mnaweweseka jamani, hivi mtafika 2020 salama kweli ??? Hebu pambaneni na hali zenu acheni kutumia neno UZALENDO vibaya.

JESHI/POLISI/TISS/BUNGE Vyote vyombo vyenu lakini kila kukicha mnalialia tu.

Kama kazi imewashinda tupeni Nchi yetu.....tuondoleeni uchuro hapa... !
 
Kuna mengi ya kufikiri kuliko kupingana na ukweli... ukipenda kusifia na upende kukosolewa na kuona wapi unakosea. Ni mbaya sana ikiwa wengi wanaona ivi na ukataka kujilazimisha sivyo...
 
Wakuu

tupambane na dangote anatumiwa na CHADEMA wazalendo wenzangu tusikubari nchi kuhujumiwa na hawa wasio na uzalendo

Subscribe to read

kwanini alisumbue buldoza letu, aache uchadema, kupinga kila kitu

not to that extent
hata kiswahili hujui, eti tusikubari ndio mdudu gani tusikubari
 
To attract Investors:
Create a realistic
Use social media
Show that there is a substantial – and growing
Specify country strengths
Take a portfolio approach


Tusipingane na Ukweli
 
Dangote anataka nini hadi atumwe kwa mfano? ulidhani anatumia muda wake kijingajinga ndo akawa mtu Tajiri mkubwa Africa na Tajiri namba moja mwafrica duniani?
 
Acha siasa za maji taka kwani chadema sio watanzania? ! nawashangaa kila siku povu linawatoka mnaleta chuki ya ubaguzi usio na tija
 
Umeandika kama una kitu fulani kisichojulikana kimeingia ndani ya moja ya matundu yako.
 
Wakuu

tupambane na dangote anatumiwa na CHADEMA wazalendo wenzangu tusikubali nchi kuhujumiwa na hawa wasio na uzalendo

Subscribe to read

kwanini alisumbue buldoza letu, aache uchadema, kupinga kila kitu

not to that extent
huna akili wewe mtu hivi unamjua Dangote? aache kufatilia vikao vya kuinunua arsenal akae na chadema wamtume? huyo presidaa wako tu hawezi kumtuma huyo kiumbe..pumbav sana em futa hii thread
 
Hivi nyie watu kwa nini hampendi kuambiwa ukweli kila anayewaambia ukweli mnamuona mchochezi kwenu mnataka kusifiwa tuuu hata kama vya uongo ukimaliza kachukue buku 7 yako
 
huna akili wewe mtu hivi unamjua Dangote? aache kufatilia vikao vya kuinunua arsenal akae na chadema wamtume? huyo presidaa wako tu hawezi kumtuma huyo kiumbe..pumbav sana em futa hii thread

wewe si mzalendo, nyumbu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…