The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Lebanon ipo stable na amani. Syria ni Damascus tu ndo kunakalika.Na mm nimeapplya UN OFISI ZA Lebanon na Syria sijui itakuwaje???
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
Na jinsi CV yangu ilivyo ni lazima watanipeleka Syria tu, maaana nina experience ya kufanya kazi kwenye mazingira hatarishi ila sio kwa Syria asee[emoji23]Lebanon ipo stable na amani. Syria ni Damascus tu ndo kunakalika.
Lebanon saivi wana economic crisis wanataka serikali yote ijiuzulu since mlipuko uliotokea Beirut.Lebanon ipo stable na amani. Syria ni Damascus tu ndo kunakalika.
Somalia ipi tena na tumekubaliana kuwa ni ethiopiaHabesh, Somalian mirungi inawaharibu
Hawa nimewakubali...wanajielewa. hawezikani upo hapa nchini kwetu alafu top managerial positions unawapa wahindi...wats the point ya wewe kuwekeza hapa kwetu?Nadhani Aliko Alhaj Dangote hakuwafahamu vizuri kabila la Oromo ambalo wa Ethiopia wengine wanawaita barbaric kwa kuenda kujenga kiwanda chake cha Sementi kwenye ardhi yao ya Oromia.
Yeye alikula deal na watu wa Serikali lakini wa Oromo wakamuwekea masharti jinsi ya kukiendesha hicho kiwanda wakitaka wakurugenzi na mameneja wote wawe wa oromo pamoja na asilimia 80% ya wafanyakazi.
Dangote hakufanya hivyo akawaleta wahindi. Tayari hao wahindi wakurugenzi watatu walishauliwa kwa kupigwa risasi wakiwa kwenye gari kuelekea Addis Ababa.
Wafanyakazi wageni wote wanaishi kwa hofu na kujificha. Magari ya kampuni yanachomwa moto mara kwa mara.
Anataka kukukifunga hicho kiwanda.
Usiogope mzee kwenye vita ndio kuna mihelaNa mm nimeapplya UN OFISI ZA Lebanon na Syria sijui itakuwaje?
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
Safi, ale mikwaju tuNadhani Aliko Alhaj Dangote hakuwafahamu vizuri kabila la Oromo ambalo wa Ethiopia wengine wanawaita barbaric kwa kuenda kujenga kiwanda chake cha Sementi kwenye ardhi yao ya Oromia.
Yeye alikula deal na watu wa Serikali lakini wa Oromo wakamuwekea masharti jinsi ya kukiendesha hicho kiwanda wakitaka wakurugenzi na mameneja wote wawe wa oromo pamoja na asilimia 80% ya wafanyakazi.
Dangote hakufanya hivyo akawaleta wahindi. Tayari hao wahindi wakurugenzi watatu walishauliwa kwa kupigwa risasi wakiwa kwenye gari kuelekea Addis Ababa.
Wafanyakazi wageni wote wanaishi kwa hofu na kujificha. Magari ya kampuni yanachomwa moto mara kwa mara.
Anataka kukukifunga hicho kiwanda.