Dangote arejea nafasi ya mtu tajiri zaidi barani Afrika

Dangote arejea nafasi ya mtu tajiri zaidi barani Afrika

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria, Aliko Dangote (66), amerejea kushika nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi barani Afrika, kwa mujibu wa Orodha ya Mabilionea ya Bloomberg ya tarehe 7 Septemba 2024, akiwa na utajiri wa thamani ya Tsh trilioni 36.4.

Wiki kadhaa zilizopita, Rupert alikuwa ameipiku nafasi hiyo akiwa na utajiri wa Tsh trilioni 38.53, lakini kufikia tarehe 8 Septemba 2024, thamani ya utajiri wake ilishuka hadi Tsh trilioni 35.6, na kumteremsha kutoka nafasi ya 145 hadi ya 164 kwenye orodha ya matajiri wakubwa duniani.

Dangote, ambaye anamiliki viwanda vya mafuta na saruji nchini Nigeria, kwa sasa anashikilia nafasi ya 159 ya matajiri wakubwa duniani.

============For English Audience Only============
Africa: Dangote Reclaims Title of Africa's Richest Person

Nigerian industrialist Aliko Dangote has regained the first place as Africa's richest person, unseating Johann Rupert who had claimed the title in late August, according to Bloomberg Billionaire Index.

The 66-year-old founder and CEO of the Dangote Group, a conglomerate of cement, sugar and oil industries, has reclaimed the first place with a fortune of $13.3 billion after Rupert's net worth took a slump, data from the index showed on Saturday, September 7

Rupert, a South African billionaire who controls one of the world's luxury goods firms Richemont, claimed the position of the richest man in Africa, when his net worth surged by $1.9 billion to $14.3 billion, placing him at 147th position globally, 12 places ahead of Dangote.

Rupert's net worth was $13.1 billion as of Sunday, while Dangote's fortune stood at $13.2 billion.

The Nigerian tycoon, who opened an oil refinery in Lagos in 2023, stands at the 159th position in the world, five places ahead of Rupert.

Dangote, who was Africa's richest man for 12 years until August, says he does not own a home outside Africa.

Pia Soma:
Rupert ashika nafasi ya mtu tajiri zaidi Afrika
 
Nikifika miaka 70 nitakuwa namimi tajiri number moja duniani.
 
Trillioni 36.4 ni tajiri wa kwanza africa.

Halafu kuna mtu anataka kuwa namba one worldwide akiwa hajafika hata 1 trillion.

Tanzania is world comedy channel.

From top to bottom
Sio one trilion hata bilioni la kitz hana
 
Trillioni 36.4 ni tajiri wa kwanza africa.

Halafu kuna mtu anataka kuwa namba one worldwide akiwa hajafika hata 1 trillion.

Tanzania is world comedy channel.

From top to bottom
Kuna kosa kuwa na ndoto hiyo?,amekwambia inbox ana hiyo amount?.akili za kimaskini na roho mbaya hizi.
 
Mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria, Aliko Dangote (66), amerejea kushika nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi barani Afrika, kwa mujibu wa Orodha ya Mabilionea ya Bloomberg ya tarehe 7 Septemba 2024, akiwa na utajiri wa thamani ya Tsh trilioni 36.4.

Wiki kadhaa zilizopita, Rupert alikuwa ameipiku nafasi hiyo akiwa na utajiri wa Tsh trilioni 38.53, lakini kufikia tarehe 8 Septemba 2024, thamani ya utajiri wake ilishuka hadi Tsh trilioni 35.6, na kumteremsha kutoka nafasi ya 145 hadi ya 164 kwenye orodha ya matajiri wakubwa duniani.

Dangote, ambaye anamiliki viwanda vya mafuta na saruji nchini Nigeria, kwa sasa anashikilia nafasi ya 159 ya matajiri wakubwa duniani.

============For English Audience Only============
Africa: Dangote Reclaims Title of Africa's Richest Person

Nigerian industrialist Aliko Dangote has regained the first place as Africa's richest person, unseating Johann Rupert who had claimed the title in late August, according to Bloomberg Billionaire Index.

The 66-year-old founder and CEO of the Dangote Group, a conglomerate of cement, sugar and oil industries, has reclaimed the first place with a fortune of $13.3 billion after Rupert's net worth took a slump, data from the index showed on Saturday, September 7

Rupert, a South African billionaire who controls one of the world's luxury goods firms Richemont, claimed the position of the richest man in Africa, when his net worth surged by $1.9 billion to $14.3 billion, placing him at 147th position globally, 12 places ahead of Dangote.

Rupert's net worth was $13.1 billion as of Sunday, while Dangote's fortune stood at $13.2 billion.

The Nigerian tycoon, who opened an oil refinery in Lagos in 2023, stands at the 159th position in the world, five places ahead of Rupert.

Dangote, who was Africa's richest man for 12 years until August, says he does not own a home outside Africa.

Pia Soma:
Rupert ashika nafasi ya mtu tajiri zaidi Afrika
Na Wewe pia ni Masikini wa ngapi Kiukoo, Kifamilia, Kimtaa, Kiwilaya, Kimkoa na Kitaifa?
 
Akaekae hapo Kwa muda hiyo nafasi ya diamond
 
Trillioni 36.4 ni tajiri wa kwanza africa.

Halafu kuna mtu anataka kuwa namba one worldwide akiwa hajafika hata 1 trillion.

Tanzania is world comedy channel.

From top to bottom
Ni mtanzania yupi huyo aliyesema anataka kuwa tajiri number 1 Duniani 😂
 
Habari za tajiri muulize maskini.
 
Misingi ya utajiri mkubwa ipo kwenye industrialization. Ila kiafrika tunaanza na aggregate ya 3-0 na kuendelea. Anayekaza ndio anatoboa.
 
Mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria, Aliko Dangote (66), amerejea kushika nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi barani Afrika, kwa mujibu wa Orodha ya Mabilionea ya Bloomberg ya tarehe 7 Septemba 2024, akiwa na utajiri wa thamani ya Tsh trilioni 36.4.

Wiki kadhaa zilizopita, Rupert alikuwa ameipiku nafasi hiyo akiwa na utajiri wa Tsh trilioni 38.53, lakini kufikia tarehe 8 Septemba 2024, thamani ya utajiri wake ilishuka hadi Tsh trilioni 35.6, na kumteremsha kutoka nafasi ya 145 hadi ya 164 kwenye orodha ya matajiri wakubwa duniani.

Dangote, ambaye anamiliki viwanda vya mafuta na saruji nchini Nigeria, kwa sasa anashikilia nafasi ya 159 ya matajiri wakubwa duniani.

============For English Audience Only============
Africa: Dangote Reclaims Title of Africa's Richest Person

Nigerian industrialist Aliko Dangote has regained the first place as Africa's richest person, unseating Johann Rupert who had claimed the title in late August, according to Bloomberg Billionaire Index.

The 66-year-old founder and CEO of the Dangote Group, a conglomerate of cement, sugar and oil industries, has reclaimed the first place with a fortune of $13.3 billion after Rupert's net worth took a slump, data from the index showed on Saturday, September 7

Rupert, a South African billionaire who controls one of the world's luxury goods firms Richemont, claimed the position of the richest man in Africa, when his net worth surged by $1.9 billion to $14.3 billion, placing him at 147th position globally, 12 places ahead of Dangote.

Rupert's net worth was $13.1 billion as of Sunday, while Dangote's fortune stood at $13.2 billion.

The Nigerian tycoon, who opened an oil refinery in Lagos in 2023, stands at the 159th position in the world, five places ahead of Rupert.

Dangote, who was Africa's richest man for 12 years until August, says he does not own a home outside Africa.

Pia Soma:
Rupert ashika nafasi ya mtu tajiri zaidi Afrika
Kesho ataporomoka tena na keshokutwa atarudi tena hivyo ndivyo magazeti na MB vinavyouzwa.
 
Back
Top Bottom