Mimi yangu macho na masikio.Lakini Nina imani kuna jambo kubwa kuliko anayosema waziri na Dangote hadharani .Hapo lazima mikono ya mafisadi Wa bongo IPO tu.
Sio mikoani tu. Mwijage alisema hata wewe nyumbani kwako kama una blender, hicho ni kiwanda tayari maana kitasaidia kuhakikisha matunda yanageuzwa kuwa juice badala ya kuozea shambani. Walio na mashine za kusaga mahindi huko vijijini vile ni viwanda pia.
Sio mikoani tu. Mwijage alisema hata wewe nyumbani kwako kama una blender, hicho ni kiwanda tayari maana kitasaidia kuhakikisha matunda yanageuzwa kuwa juice badala ya kuozea shambani. Walio na mashine za kusaga mahindi huko vijijini vile ni viwanda pia.
Hivi nyinyi ambao mnapenda kurukia mambo ambayo hamuyafahmu kwa kina na ku-draw conclusion ni watu wa aina gani?Wakuu nawasalimu sana.
Dangote anaenda kenya, hiki kiwanda atakachojenga kenya ndio kile alichotaka kujenga kigoma ili ashike soko la Burundi na Congo, serikali kutoheshimu makubaliano ya kibiashara itatugharimu viwanda kuondoka ni kosa kubwa kwani katika viongozi wanaopiga kelele hakuna wa kuweza kugombana na yajiri level ya Dangote narudia tena hakuna sana tutaumia sisi.
Washauri hakikisheni mnamaliza matatizo forbes washatuandika vibaya hivyo kuweni makini ni rahisi kuwekeza malawi kuliko Tanzania.
Dah....sasa ndio nn hii...je kwenye mikataba mliweka anunuwe makaa ya mawe Ng'aka?...Mimi nitasimama upande wa serikali hadi mwisho hata kama wanakosea maana kuna facts ndani ya maelezo ya serikali;
1. Vipi wawekezaji wengine wanapata incentives kama hizo, je hapo kuna fair competition?
2. Wawekezaji kwenye makaa ya mawe wakauze wapi makaa yao na uwekezaji wao ina maana hauna support yoyote
3. Vipi ajira kwa watumishi walio katika sekta ya makaa ya mawe?
4. Kutumia pesa za kigeni kuagiza makaa Africa kusini wakati hata kwetu yapo tena mengi na nafuu (shilingi inakosa nguvu)
5. Uwekezaji ambao hauna mpango wa win-win situation si rafiki kwa nchi yetu
Nabakia kuwa upande wa serikalo potelea mbali. Hii inawezekana hapa Tanzania pekee
Eti mwache aende watu tunategemea kula kupitia Viwanda vyake ndo ttz la pre-form one humu ndan ambao wanalshwa na wazaz waoMwache aende tu
Una maandishi - yanayothibitisha kuwa serikali imeshindwa kutekeleza makubaliano na Dangote?Wakuu nawasalimu sana.
Dangote anaenda kenya, hiki kiwanda atakachojenga kenya ndio kile alichotaka kujenga kigoma ili ashike soko la Burundi na Congo, serikali kutoheshimu makubaliano ya kibiashara itatugharimu viwanda kuondoka ni kosa kubwa kwani katika viongozi wanaopiga kelele hakuna wa kuweza kugombana na yajiri level ya Dangote narudia tena hakuna sana tutaumia sisi.
Washauri hakikisheni mnamaliza matatizo forbes washatuandika vibaya hivyo kuweni makini ni rahisi kuwekeza malawi kuliko Tanzania.
Hatutaki matajiri wa kubembelezwa , tunaviwanda vya simentiKugombana na Dangote ni kosa litakalotugharimu sana.Tajiri aina ya Dangote sio wa kufanyia mzaha hata kidogo.
Wakuu nawasalimu sana.
Dangote anaenda kenya, hiki kiwanda atakachojenga kenya ndio kile alichotaka kujenga kigoma ili ashike soko la Burundi na Congo, serikali kutoheshimu makubaliano ya kibiashara itatugharimu viwanda kuondoka ni kosa kubwa kwani katika viongozi wanaopiga kelele hakuna wa kuweza kugombana na yajiri level ya Dangote narudia tena hakuna sana tutaumia sisi.
Washauri hakikisheni mnamaliza matatizo forbes washatuandika vibaya hivyo kuweni makini ni rahisi kuwekeza malawi kuliko Tanzania.
Hatutaki matajiri wa kubembelezwa , tunaviwanda vya simenti
1. Nyati
2. Twiga
3. Simba
4. Tembo
5. Kifaru / rhino
6. Camel/ ngamia
Ukiona viwanda vyote vina majina ya wanyama, hivi Dangote ni mnyama gani? Inawezekana ndio sababu ya mkwamo wake, mwambie aje na mzaha wake tuone
Kweli kabisa mkuu,tumekuwa na utaratibu wa ajabu sana tangia tupate uhuru au tangia mwl nyerere alivyotuacha.Rais huyu anakuja anafanya hiki,yule anakuja ana haribu kila kitu,tunachagua kiongozi anaenda pale ikulu kwenda kufanya majaribio ya ubongo wake, akifeli tu Watanzania wote hoi yaaani tupo tupo tu, Tumekuwa ni nchi ya majaribio ndiyo maaana tuliona october 2015 idadi ya waliochukua form ya kugombea Urais ilikuwa kubwa sana,kumbe watu wanajua kwamba unaweza kwenda pale ikulu kufanya sarakasi na mambo yako siyo kuwapigania wananchi masikini waliokuchagua.Nchi hii haina utaratibu ni kama kijiwe.the country is politically unstable,ikija awamu hii inapindua na kuvuruga ya awamu iliyopita,hawaangalii kwamba muwekezaji haongozi na awamu za uongozi wa kisiasa bali makubaliano yaliyo katika njia mbili,sheria na pili mikataba kati ya mwekezaji na serikali.
serikali ni chombo endelevu,kuanzia kipindi cha mkoloni,uhuru mpaka sasa,kuita "awamu yangu" ni mbwembwe tu kwa kuwa haijabadili mihuri ya serikali ya jamhuri ya muungano iliyo katika mikataba ya dangote.
Dangote anachojua ni "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Sasa wewe ambaye huna akili finyu umeishia JF khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee JF na vituko vyake.Viongozi wetu wana upeo finyu sana..
Sasa tatizo kama hilo wamelishindwa ..?
Wasidhani kuwa kuitwa profesa ndio umeshakuwa problem solver na kwamba eti unaweza kila kitu. La hasha.
Unanijua mimi wewe?Sasa wewe ambaye huna akili finyu umeishia JF khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee JF na vituko vyake.
Really? Is this a joke? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeUnanijua mimi wewe?
Barikiwa pia ndugu.UNA HEKIMA SANA . ..UBARIKIWE SANA . ........anaye chukia kwao MTUMWA
Asnte Yesu endelea kutenda miujizaWakuu nawasalimu sana.
Dangote anaenda kenya, hiki kiwanda atakachojenga kenya ndio kile alichotaka kujenga kigoma ili ashike soko la Burundi na Congo, serikali kutoheshimu makubaliano ya kibiashara itatugharimu viwanda kuondoka ni kosa kubwa kwani katika viongozi wanaopiga kelele hakuna wa kuweza kugombana na yajiri level ya Dangote narudia tena hakuna sana tutaumia sisi.
Washauri hakikisheni mnamaliza matatizo forbes washatuandika vibaya hivyo kuweni makini ni rahisi kuwekeza malawi kuliko Tanzania.