Dangote kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta Angola

Dangote kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta Angola

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
Habari njema kutoka Angola ni kwamba Bilionea raia wa Nigeria Aliko Dangote anatarajiwa kuwekeza kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta cha Lobito ( Lobito Refinery).

Hayo yameelezwa kupitia taarifa iliyotolewa na ubalozi wa Angola nchini Nigeria baada ya Bilionea huyo kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Angola Joao Lourenço wakati wa ziara yake nchini Angola iliyofanyika wiki iliyopita.

Vilevile Bilionea Dangote anatarajiwa kuwekeza katika viwanda vya saruji na tayari amefungua tawi la Kampuni yake litakaloshughulikia uwekezaji wa kampuni ya Dangote nchini humo
=============
Buoyed by the global impact of his 650,000 barrels per day refinery and petrochemical plant, Africa’s richest man and President of Dangote Group, Aliko Dangote has held talks with Angolan President João Lourenço to wrap up a deal for the construction of a new refinery in the Southern African country, THISDAY has learnt.

Vyanzo/Sources:
Arise News
Forbes Africa

"Angolan President Lourenço, Dangote Wrap Up Deal For Construction Of New Refinery - Arise News" Angolan President Lourenço, Dangote Wrap Up Deal For Construction Of New Refinery - Arise News

"Nigerian Tycoon in Angola to Formalize Investment in the Lobito Refinery - Forbes Africa" https://www.forbesafrica.com/curren...-formalize-investment-in-the-lobito-refinery/
 
Habari njema kutoka Angola ni kwamba Bilionea raia wa Nigeria Aliko Dangote anatarajiwa kuwekeza kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta cha Lobito ( Lobito Refinery).

Hayo yameelezwa kupitia taarifa iliyotolewa na ubalozi wa Angola nchini Nigeria baada ya Bilionea huyo kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Angola Joao Lourenço wakati wa ziara yake nchini Angola iliyofanyika wiki iliyopita.

Vilevile Bilionea Dangote anatarajiwa kuwekeza katika viwanda vya saruji na tayari amefungua tawi la Kampuni yake litakaloshughulikia uwekezaji wa kampuni ya Dangote nchini humo
=============
Buoyed by the global impact of his 650,000 barrels per day refinery and petrochemical plant, Africa’s richest man and President of Dangote Group, Aliko Dangote has held talks with Angolan President João Lourenço to wrap up a deal for the construction of a new refinery in the Southern African country, THISDAY has learnt.

Vyanzo/Sources:
Arise News
Forbes Africa

"Angolan President Lourenço, Dangote Wrap Up Deal For Construction Of New Refinery - Arise News" Angolan President Lourenço, Dangote Wrap Up Deal For Construction Of New Refinery - Arise News

"Nigerian Tycoon in Angola to Formalize Investment in the Lobito Refinery - Forbes Africa" https://www.forbesafrica.com/curren...-formalize-investment-in-the-lobito-refinery/
Mara mia ufarahie Bomba la mafuta kutoka Uganda mpaka Tanga sio ya dangote na wazungu hamna tofauti
Usidanganywe na rangi ya mtu angalia mawazo ya mtu kwani wapo wafrika weusi ila ni mafisadi wengine wanajiita wasiojulikana
 
Hivi kiwanda cha Dangote cha saruji Tanzania kimeishia wapi?
 
Hapo Lobito ndio kutajengwa corridor ya kuunganisha DRC, Zambia na Angola. Na patajengwa bandari, kuna uwekezaji wa Marekani na sina imani nao sana kama ni wa nia njema na faida sana kwa Waafrika.

Hiyo corridor ingepita Tanzania ingekuwa fupi, yenye faida kwa Waafrika wengi zaidi na gharama nafuu ila sijui Wamarekani wana agenda gani.

Itakuwa Dangote moves zake ziko calculated na risks anazijua.
 
Kipo kinafanya kazi kwa miaka kadhaa sasa. Miaka 5+
Ila Dangote anajua kukomaa.

Aliletewa figisu mpaka nikafikiri atakimbia, lakini kajua kwenda na upepo, kajua kusubiria windo mpaka washashi wamepita, dhoruba imepita, mabaharia wenye upendo wameikabili dhoruba.

MV Mapenzi meli ya wapendanao bendera inapepea, safari yaendelea.
 
Hapo Lobito ndio kutajengwa corridor ya kuunganisha DRC, Zambia na Angola. Na patajengwa bandari, kuna uwekezaji wa Marekani na sina imani nao sana kama ni wa nia njema na faida sana kwa Waafrika.

Hiyo corridor ingepita Tanzania ingekuwa fupi, yenye faida kwa Waafrika wengi zaidi na gharama nafuu ila sijui Wamarekani wana agenda gani.

Itakuwa Dangote moves zake ziko calculated na risks anazijua.
Ile Lobito imewekwa kwa interests za Wamarekani kutumia bandari za bahari ya Atlantic kule kupeleka mizigo Marekani. Biden anaenda Angola ku seal the deal.

Huku Tanzania tumeamua kwenda na Wachina tangu siku za TAZARA (na Mchina sasa karudi TAZARA) hivyo Mmarekani na Mchina kushirikiana kwenye mIundombinu kama ya reli kuwafaidisha Waafrika ni kitu kigumu.
 
Ila Dangote anajua kukomaa.

Aliletewa figisu mpaka nikafikiri atakimbia, lakini kajua kwenda na upepo, kajua kusubiria windo mpaka washashi wamepita, dhoruba imepita, mabaharia wenye upendo wameikabili dhoruba.

MV Mapenzi meli ya wapendanao bendera inapepea, safari yaendelea.
Dangote mbona serikali iliyopita haikuwa na shida nae tatizo lilikuwa clinker na makaa ya mawe kama sikosei, alikuwa anatoa South Africa. Term ya tano ilitaka atumie coal yetu wenyewe ambayo ina energy density ndogo yeye akawa anafanya importation. Hivyo tu kidogo nakumbuka akaja Rais mstaafu Obasanjo akakutana na jiwe matatizo yakaisha.

Dangote yuko kwenye risk kuingia biashara za refinery i hope atakuwa makini.
 
Ile Lobito imewekwa kwa interests za Wamarekani kutumia bandari za bahari ya Atlantic kule kupeleka mizigo Marekani. Biden anaenda Angola ku seal the deal.

Huku Tanzania tumeamua kwenda na Wachina tangu siku za TAZARA (na Mchina sasa karudi TAZARA) hivyo Mmarekani na Mchina kushirikiana kwenye mIundombinu kama ya reli kuwafaidisha Waafrika ni kitu kigumu.
Kwahiyo China itaboresha TAZARA na itafute corridor ya kuingia Congo, ni njia rahisi kidogo. Hesabu zilezile walivyotaka kujenga bandari Bagamoyo.

Marekani kuvuna resources za DRC na kuunga Angola kubeba mafuta ni njia ngumu ila imeona mbali. Spheres of influence zinatugawa Waafrika hapahapa kuungana kwenye free market na free movement hatuwezi ila wanakuja outsiders kutuweka kwenye hesabu zao za faida.
 
Hapo Lobito ndio kutajengwa corridor ya kuunganisha DRC, Zambia na Angola. Na patajengwa bandari, kuna uwekezaji wa Marekani na sina imani nao sana kama ni wa nia njema na faida sana kwa Waafrika.

Hiyo corridor ingepita Tanzania ingekuwa fupi, yenye faida kwa Waafrika wengi zaidi na gharama nafuu ila sijui Wamarekani wana agenda gani.

Itakuwa Dangote moves zake ziko calculated na risks anazijua.
Mmarekani kapeleka pale ili amzime mchina tu ndio shida yake mkuu. Hakunaga siku mzungu anaishi kwa kumfikiria mwafrika trust me. Kwa mfano ile bandari iliyokuwa ijengwe bagamoyo mzungu alitia fitna ngosha akajaa. Lakini deep down ulihtaji marekebisho kidogo tu tusain nchi ingefumka mbaya kabisa. Zile zilikuwa fitnia za mzungu na mkenya.
 
Back
Top Bottom