Stop Running away from the topic, Give us 1 country in africa that loses 1/3 of its budget to corruption except kenya
TanzaniaGive us 1 country that has broken this record
Third of Kenyan budget lost to corruption: anti-graft chief
Bring the data, Let us review it unless ofcourse you want to troll me which will attract the usual healthy helping of nonesenseTanzania
Uliza pia Rugemalila na yule Seth mdosi waliko.Na Tibaijuka na Chenge naruhusiwa kuuliza waliko?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Huyo ni one of our many fans supporting our publications ...He contributes to our economy positively albeit without knowledge.
https://www.nation.co.ke/news/polit...peaceful-poll/1064-1893004-j93e9vz/index.htmlTanzania
Nigeria is the most corrupt country in earth ...why did he invest there?lame excuse
At least kwa miaka miwili tumepumua kuongelea ufisadi TANZANIA...Ukisikia ufisadi basi ujue watu wanapelekwa kisutu.
Sema mwizi asiwe timu ya mzee wa Chattle!
Wote walio nje ya Chattle wakiiba ni ndani ila wa ndani ya mzee wa chattle hagusi hata kituo cha polisi!!
Mimi sikatai kamwe kenya ni corrupt ila mnigeria ni mtu wa kumyoshea mtu kidole amuite mfisadi kweli??? ??Weka data acha kujiliwaza kila mtu akizungumza ukweli kuhusu Kenya anakuwa mtanzwnia?, huyu ameripoti alichokisema Jeff Koinange, kosa lake ninini?, the trueth is Kenya is more corrupt than Naigeria.
Weka data ya nigeria, wacha nikupe recodi ya kenyaMimi sikatai kamwe kenya ni corrupt ila mnigeria ni mtu wa kumyoshea mtu kidole amuite mfisadi kweli??? ??
Tuoneshe wezi walio ndani na nje ya mzee chato.
Muulize Mnyeti alietoa rushwa kwa pesa ya serikali kununua madiwani Arusha!
Pia muulize Bashite!
Sijui hawa kama walishawahi fika hata kituo cha polisi kwa mahojiano tu!
Im waiting
Ushahidi ndiyo shida hapo.
Kumtia mtu hatiani kwa rushwa unahitaji uthibitisho ulio dhahiri shahili. video au audio si ushahidi unaoaminiwa mahakamani.
Listen to this despicable clown....
Umejisikia unachoongea kweli?
Ushahidi unaokubalika mahakamani ni upi?Taja mmoja kwa tukio la rushwa kama la Mnyeti!
Taja halafu ujione ulivyo m-lumumba!
Anyways hayo ya madiwani sijui mnyeti siyo kipaumbele changu kwa NCHI yangu.
Ni maendeleo tu.
Uwe mkweli, sema kwasasa inafanyika kwa kifichoCorruption ni tatizo kubwa sana kwa nchi zetu za kiafrica,asante Mungu huku Bongo hilo sio tatizo tena
Unaongelea Ule ushahidi wa vifaa vya Australia?Muulize Mnyeti alietoa rushwa kwa pesa ya serikali kununua madiwani Arusha!
Pia muulize Bashite!
Sijui hawa kama walishawahi fika hata kituo cha polisi kwa mahojiano tu!
Im waiting
pia hawatalipa kodi Kwa miaka 15Wacha kukurupuka soma habari ya hao investors, wametoa ilani kwamba serikali iwapatie 25% discount on importation ili wawekeze. Hiyo ni ndoto, serikali yenyewe haikusanyi kodi ya kutosha, 50% ya kodi iliyokusanywa inaenda kulipa madeni ya miradi hewa
Unaongelea Ule ushahidi wa vifaa vya Australia?
. lier tz is a corupt state everCorruption ni tatizo kubwa sana kwa nchi zetu za kiafrica,asante Mungu huku Bongo hilo sio tatizo tena