Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Aliwahi kufokewa na makonda kwenye kikao akawa mpole
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Huyu huibuka kwenye masuala yanayohusu kulinda maslahi ya Mujahideen wenzake!Najiuliza sijui member mwenzetu wa Jamiiforum @Ritz yuko wapi siku hizi?
Enzi Bashite alipokua Naibu RaisAliwahi kufokewa na makonda kwenye kikao akawa mpole
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kwani lugha ya malkia inaongeza nn ktk maisha yake? Marais wangapi hawaijui? Unamjua Marcelo Bielsa kocha wa leeds United alichokisema juzi hapa? Yupo uingereza miaka kibao na hajui hiyo lugha na team kaipandisha championship mpaka leo ipo ligi kuu na msimu ujao wapo, hakijui kimalkiaLugha ya Malkia kwake ni changamoto
Wewe ndiye .....kama unafikra za kushikiwa bado,hao wameshuka leo TZ hapa,mbona wapo na uozo upo kitambo na kila sehemu tu!???Pumbavu kweli wewe
Hivi unadhani wakina Mangula, Rais Samia na Wazee wale wastaafu na system ya nchi akili hawana ila wewe kenge ndio una akili
Wewe ndiye .....kama unafikra za kushikiwa bado,hao wameshuka leo TZ hapa,mbona wapo na uozo upo kitambo na kila sehemu tu!???Pumbavu kweli wewe
Hivi unadhani wakina Mangula, Rais Samia na Wazee wale wastaafu na system ya nchi akili hawana ila wewe kenge ndio una akili
Enzi Bashite alipokua Naibu Rais
Hivi ilikuwa Naibu au chepuko?Enzi Bashite alipokua Naibu Rais
MmmhhHivi ilikuwa Naibu au chepuko?
We jamaa uko wapi ?
Now ndio naibu Rais kweli kweliEnzi Bashite alipokua Naibu Rais
Ni kweli wamekutana tena huko juuHii Dunia n mzunguko na cheo n dhamana enzi za jpm makonda alikua Rc hku chongolo akiwa DC wa kinondoni Leo hii chongolo n boss wa makonda na wamektanishwa aiseh tujifunze kuishi vizuri na Kila mtu