Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Huyu jamaa nimemcheki kwenye get out na Judas and the black Messiah anaijua kazi yake. Ni muingereza mwenye asili ya Uganda. Kwenye Get out alikuwa nominated tuzi za Oscar. Kwenye Judas and the black Messiah kapata Oscar
Baada ya Lupita na huyu nafikiri ni wakati wa mtu mwenye asili ya Tanzania kupata Oscar.
Baada ya Lupita na huyu nafikiri ni wakati wa mtu mwenye asili ya Tanzania kupata Oscar.