Sio waalimu wazurihuyo mzee sijawahi kumuelewa hata siku amezeeka kiasi kwamba huwa anasahau hata nini ameongea yupo kama mzee mwinyi
mke wake nae ni hbr za israel tu kwa kwenda mbele yaani full majanga
Ibada ya sanamu hiyoMke wake amesababisha wamama wa mkoa wa Arusha kuweka vibendera vya Israel ndani ya nyumba zao.
Vibendera vya Israel kutoka safina
Chumvi kutoka safina
Mafuta ya mizeituni kutoka safina
Maji yaliyoombewa kutoka safina na makolokocho kibao [emoji23][emoji23]
Mbaya zaidi vitu hivyo vyote wanauziwa kwa bei ghali
Uchawi wa kisasaMpaka bodaboda walianza kuwa na hiyo tabia kiasi kwamba unamkuta kafunga kibendera cha Israel na chumvi yake mfukoni
Wewe tumia hayo maji sisi tutalitaja jina la YesuMbona hamuongelei wanaotumia hirizi mmeona Maji tu ehhh ndio hivyo..
LukaKuna mtumishi alikuwaga pale yule jamaa alikuwa na karama kubwa haswa? Kiasi kwamba alikuwa anawafunika wenzake ..gafla kapotea nikaja sikia walimtoaga dah tangu siku hiyo siskizagi Tena hiyo redio.
Saiv Ana huduma yake kule Moshono. Nina nimesahahu
Kuponya hata waganga na waaguzi huponya. Ufike wakati Yesu aheshimiwe kuliko watu na vitu vya hovyoKuna watu wanapona na kufunguliwa hapo safina, mbona hamuongelei hayo?
Wanapandisha bidhaa thaman kwa kuziprocess na kuzipack kwa upako. Tz ya viwandaMke wake amesababisha wamama wa mkoa wa Arusha kuweka vibendera vya Israel ndani ya nyumba zao.
Vibendera vya Israel kutoka safina
Chumvi kutoka safina
Mafuta ya mizeituni kutoka safina
Maji yaliyoombewa kutoka safina na makolokocho kibao 😂😂
Mbaya zaidi vitu hivyo vyote wanauziwa kwa bei ghali
Lukas, 2012 aliniombeaga wakati napita kwenye mapori. Namkumbuka mjoli wa Bwana Yesu.Kuna mtumishi alikuwaga pale yule jamaa alikuwa na karama kubwa haswa? Kiasi kwamba alikuwa anawafunika wenzake ..gafla kapotea nikaja sikia walimtoaga dah tangu siku hiyo siskizagi Tena hiyo redio.
Saiv Ana huduma yake kule Moshono. Nina nimesahahu
Yeah namkubali Sana huyu mtumishi Ana karama ya kweli ya uponyaji.Lukas.
Huyo huyo braza ..na Kuna yule mqingine alikuwa anaitwa somebody Christopher ..daha Hawa watumishi wawili walinibariki saana Ila baada ya wao kusepa iyo redio huwa siskizagi Tena. Nnaona wanapiga kelele tu na kukusanya hizo Mia Mia za akina mama maana ndo wahanga wakubwa.Lukas, 2012 aliniombeaga wakati napita kwenye mapori. Namkumbuka mjoli wa Bwana Yesu.
anashushia na ile Fruto Ya Safina.
online naona hawapo tena wanapatikana yutube na instargramHyo uhuduma imenubariki sna nawatafuta online cwapati kbsa na app dar hawapo hewani
huyo mzee sijawahi kumuelewa hata siku amezeeka kiasi kwamba huwa anasahau hata nini ameongea yupo kama mzee mwinyi
mke wake nae ni hbr za israel tu kwa kwenda mbele yaani full majanga
Hata sa kumi na moja alfajiri!Huyu kiongozi wa hii huduma kwa kweli sauti yake inanibariki mno hasa kile kipindi chake mida ya saa saba mchana.
Nasikia sasa hivi amekuwa mzee sana vijana ndo wanapiga kazi ya injili kwenye mahubiri.
Aisee hivi shilingi mia 5,elf moja ndio ghali?Mke wake amesababisha wamama wa mkoa wa Arusha kuweka vibendera vya Israel ndani ya nyumba zao.
Vibendera vya Israel kutoka safina
Chumvi kutoka safina
Mafuta ya mizeituni kutoka safina
Maji yaliyoombewa kutoka safina na makolokocho kibao [emoji23][emoji23]
Mbaya zaidi vitu hivyo vyote wanauziwa kwa bei ghali