Dar: Ajali ya mchezaji wa simba Che Malone yaua dereva wa bodaboda

Dar: Ajali ya mchezaji wa simba Che Malone yaua dereva wa bodaboda

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
11,936
Reaction score
15,196
Mchezaji wa simba che malone alisababisha ajali na kumua dereva wa bodaboda katika ajali iliyotokea mikocheni juzi.

Havari zilizopatikana kutoka eneo la tukio zinasema mchezaji huyo alikuwa akitokea masaki kula bata kwenye pati
Aidha imebainika kwamba si kweli kwamba mchezaji huyo alitoka uwanja wa ndege bali alitoka kwenye starehe.
Waandishi wa habari wa Tanzania na wachambuzi kweli wameshindwa kuripoti hili tukio?

( chanzo, bodaboda eneo la tukio)
 
Mchezaji wa simba che malone alisababisha ajali na kumua dereva wa bodaboda katika ajali iliyotokea mikocheni juzi.
Havari zilizopatikana kutoka eneo la tukio zinasema mchezaji huyo alikuwa akitokea masaki kula bata kwenye pati
Aidha imebainika kwamba si kweli kwamba mchezaji huyo alitoka uwanja wa ndege bali alitoka kwenye starehe.
Waandishi wa habari wa Tanzania na wachambuzi kweli wameshindwa kuripoti hili tukio??
( chanzo, bodaboda eneo la tukio)
Mkuu weka picha mkuu ni muhimu sanaa...
Unapunguza maswali
 
Hivi simba na Yanga ndio zinawatoa akili hivi?
Title, imeandikwa kipambe sana hiyo.......
"Amesababisha ajali na kuua" ukiwa hauna uhakika hata na kilichotokea maana hukuwepo.
"Ametoka kwenye starehe" na wala hukuwepo, boda boda watajuaje mtu alikotoka?
Mnapenda kujiaibisha sana.
 
Hivi simba na Yanga ndio zinawatoa akili hivi?
Title, imeandikwa kipambe sana hiyo.......
"Amesababisha ajali na kuua" ukiwa hauna uhakika hata na kilichotokea maana hukuwepo.
"Ametoka kwenye starehe" na wala hukuwepo, boda boda watajuaje mtu alikotoka?
Mnapenda kujiaibisha sana.
povu la nini wakati mleta habari katimiza lengo lake kuhabarisha? Hayo ya usahihi ni sisi walaji wa habari kuchakata na kujua usahihi. Masuala ya lugha imetumikaje kuleta habari haitumizi kichwa habari ndiyo hiyo imetufikia
 
povu la nini wakati mleta habari katimiza lengo lake kuhabarisha? Hayo ya usahihi ni sisi walaji wa habari kuchakata na kujua usahihi. Masuala ya lugha imetumikaje kuleta habari haitumizi kichwa habari ndiyo hiyo imetufikia
Sawa
 
Mchezaji wa simba che malone alisababisha ajali na kumua dereva wa bodaboda katika ajali iliyotokea mikocheni juzi.
Havari zilizopatikana kutoka eneo la tukio zinasema mchezaji huyo alikuwa akitokea masaki kula bata kwenye pati
Aidha imebainika kwamba si kweli kwamba mchezaji huyo alitoka uwanja wa ndege bali alitoka kwenye starehe.
Waandishi wa habari wa Tanzania na wachambuzi kweli wameshindwa kuripoti hili tukio??
( chanzo, bodaboda eneo la tukio)
Kwanini tukuamini wewe?
 
Kama siyo kweli simba walitoa magari ya kisafirisha msiba kwajili ya nn?
 
Ni wapi hapo aliposhitakiwa na kuhukumiwa?

Je, Ni muuwaji?
Msiwe wepesi kuhukumu.

Nashauri timu ya Simba iingilie kati Taarifa kama hizi na sio kuziacha kutapakaa kama yana Ukweli.


Poleni Wafiwa.
 
Back
Top Bottom