KERO Dar: Barabara Kisarawe II Wilaya ya Kigamboni haijafanyiwa matengenezo tangu mvua za Mwaka 2024

KERO Dar: Barabara Kisarawe II Wilaya ya Kigamboni haijafanyiwa matengenezo tangu mvua za Mwaka 2024

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mzee wa Kisarawe II

New Member
Joined
Jul 12, 2024
Posts
2
Reaction score
3
Ni toka mvua za mwaka jana 2024 mpaka leo barabara za Kichangani kuanzia Shule, Kisimani hadi Msikiti wa Mzee Nandule, kote huko njia hazipo ni kama vile Serikali imesahau kuwa kuna watu wanaishi huko.

Mbali ya kuwa Wananchi wamejichanga na kutafuta vifusi ila mkandarasi wa Barabara ya Kibada - Mwasonga kagoma kutusaidia kifusi cha kuweka hapa ili barabara zipitike.

Tunaiomba Serikali yetu itukumbuke wananchi tumechoka kuchangishwa jamani

5fc29bc4-008e-41d7-9614-c10ecde85c0a.jpeg
9634b0df-ccfd-45d1-98c1-2571439f48fb.jpeg
9b324ba5-e0bd-46f2-a4d1-cb62fe6f637f.jpeg
 
Back
Top Bottom