Pre GE2025 Dar: CHADEMA yafungua Warsha kupitia upya sera ya Jinsia na Walemavu

Pre GE2025 Dar: CHADEMA yafungua Warsha kupitia upya sera ya Jinsia na Walemavu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika leo 22/07/2024 amezindua Mafunzo ya mapitio na tathmini ya sera ya Jinsia, Walemavu na ushirikishwaji wa Wanawake, Washa ambayo itapitia upya na kuleta mabadiliko chanya kwenye sera ya awali.

Wakati wao wanatumbuana na kulogana, Chama makini kiko kwenye masuala Muhimu, sasa kazi ni kwenu Wananchi kuamua

Screenshot_2024-07-22-22-04-56-1.png
Screenshot_2024-07-22-22-04-29-1.png
Screenshot_2024-07-22-22-04-19-1.png
Screenshot_2024-07-22-22-04-09-1.png

Mungu Ibariki Chadema
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika leo 22/07/2024 amezindua Mafunzo ya mapitio na tathmini ya sera ya Jinsia, Walemavu na ushirikishwaji wa Wanawake, Washa ambayo itapitia upya na kuleta mabadiliko chanya kwenye sera ya awali.

Wakati wao wanatumbuana na kulogana, Chama makini kiko kwenye masuala Muhimu, sasa kazi ni kwenu Wananchi kuamua


Mungu Ibariki Chadema
Hivi nani mwanachadema harisi
 
Back
Top Bottom