Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Hatimaye Chama cha ACT Wazalendo wamenyakuwa kiti cha uwenyekiti moja wapo wa mtaa ndani ya Jiji la Dar es Salaam.
Tuendelea kusubiri wapi tena watachukua nafasi
====================
Chama cha @ACTwazalendo kimeshinda uenyekiti wa mtaa wa Nyambwela ulioko kata ya Tandika, Jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam kupitia kwa aliyekuwa mgombea wake, Mussa Bakary Mussa.
Soma Pia: Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Kutokana na matokeo hayo, sasa Mwenyekiti wa Mtaa na wajumbe wote wa Serikali ya Mtaa huo wanatoka ACT Wazalendo.
Tuendelea kusubiri wapi tena watachukua nafasi
====================
Chama cha @ACTwazalendo kimeshinda uenyekiti wa mtaa wa Nyambwela ulioko kata ya Tandika, Jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam kupitia kwa aliyekuwa mgombea wake, Mussa Bakary Mussa.
Soma Pia: Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Kutokana na matokeo hayo, sasa Mwenyekiti wa Mtaa na wajumbe wote wa Serikali ya Mtaa huo wanatoka ACT Wazalendo.