Dar es Salaam City in Photos

cjaona hata sehem ya kutisha, yaan kamji kachafu magorofa marefu yako mawili 2 hakana mpangilio. ccm wamekula ela adi wameshindwa kujenga mji. Bora nsyale kukutukuju!
 
cjaona hata sehem ya kutisha, yaan kamji kachafu magorofa marefu yako mawili 2 hakana mpangilio. ccm wamekula ela adi wameshindwa kujenga mji. Bora nsyale kukutukuju!

Inategemeana na msemaji, kuhusu mpangilio nakubaliana na wewe 100% kuhusu magorofa mawili, naweza kubisha kidogo, pia hakuna pa kutisha inategemaana na msemaji na maoni yake, anayetoka dubai, new york, shanghai, au hata cape town, kwa kweli dar ni vumbi tupu kwake, lakini mmatumbi wa east africa kama mimi naoma kuna pendeza kidogo, ki african standars IMO

mpaka mwisho wa mwaka huu 2014 dar haitakua na vijengo viwili tuu , angalia baadhi ya hayo niliyopost juu na renders ake hapa chini, sijaweka yale ambayo ujenzi utyaanza hivi punde , haya ni yale ambao ujenzi umefikia zaidi ya 40%

MIPINI YETU:cheers:


 
Mkuu PSPF anazidi kupendeza..SHIKAMOO DAR ES SALAAM.
 

vipi kuhusu barabara za kisasa kupunguza kama si kuondoa msongamano wa magari
 

RITA , samora tower outside the room :lol::cheers:​


 
A VIEW FROM AKEMI REVOLVING RESTAURANT photo by HEFEMI on instagram#Discover255



 
kwa hisani ya ABDUL MOHAMED



Site for MNF TOWER 32 X 2F





DAR TOWER U/C








UHURU HEIGHTS






 

The New York Times has named Dar es Salaam among 52 places in the world to go in 2014.


On the African coast, music thrives in a commercial capital.


http://www.nytimes.com/interactive/2014/01/10/travel/2014-places-to-go.html?_r=2







 
Hizo picha za PSPF hapo juu ni za zamani kidogo, kwa sasa PSPF TOWERS karibu yanakamilika kabisa.
 
Hizo picha za PSPF hapo juu ni za zamani kidogo, kwa sasa PSPF TOWERS karibu yanakamilika kabisa.

You are right, these are the photos from the clip taken 3 weeks ago

Great view of CBD , play the video on the link


Kikwete | Dar today | Webstagram


^^ photos from the clip











 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…