Dar es Salaam City in Photos






























DAR'S FISH EYE




REPOST cause photobucket got busted ! 🙂


















^^ SITE FOR MZIZIMA TOWERS 35+33 FLS












Tanzania hakuna plan ya mpango miji, ujenzi holela umekithiri,DSM lazima ipangwe vizuri kwani ndio image ya Tanzania hivyo. Plan iielekezwe zaidi pembezoni mwa mji sio katikati ya mji. Naamini kwa speed ya Mhe Lukuvi Jiji la Dsm litakuwa lenye kuvutia kuliko miji yote East Africa.
 
Very nice...tupewe na elimu ya majanga yakitokea kama moto,ugaidi,tetemeko la ardhi tukiwa kwenye hivo vikwangua anga au chini yake. Tusichekelee maghorofa yana kazi hayo kubwa pakitokea majanga ( mungu atunusuru )
 
Kwa nini unafikiri hizo satellite cities zitafanikiwa ikiwa Dodoma imetushinda?
 
Picha zazuzua sana. Juzi nilikuwa Dar, ni kiza totorooooo. Hakuna street lights!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…