Dar es Salaam City in Photos

Hii ni nzuri kwa sisi wa mikoani kuijua Daresalama.
Wekeni picha nyingi zaidi tufanye utalii wa ndani.
Tuijue Dar japo kidogo.

Na wewe weka za mikoani kusudi wenzako wapajue mkoani wafanye Utalii wa ndani.
 
Daresalaam tumefeli ngoja twende tukajenge dodoma
 
Siku hizi hakuna wapiga picha tena? Leteni fly-over nasikia imefunguliwa!
 
Doh, huu uzi umekufa! Ulikuwa moja ya nyuzi zenye maana sana kwa diaspora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…