Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi


There is nothing you know about Kenya or Nairobi.....Yako ni Longolongo ya Mdanganyika kawaida.Mdanganyika hata atakuambia ameishi mwezini....kawaida sana hayo
 
There is nothing you know about Kenya or Nairobi.....Yako ni Longolongo ya Mdanganyika kawaida.Mdanganyika hata atakuambia ameishi mwezini....kawaida sana hayo

Nitawezaje kuishi mwezi wakati wakenya jana mumesema the supermoon ni mali ya kenya? na mumeweka picha nyingi hapa JF kuthibitisha kama supermoon belongs to Kenya.
 

Mimi sikutumia neno slums, nilisema sehemu mbaya there is difference, na hizi sehemu nimesha pita nazijuwa thanks to serikali ya Jubilee wanajaribu kufukia mashomo, lakini Nairobi yote sio KAREN kama mnavyo taka tuamini. kuna sehemu mbaya kama miji mingine ya afrika.
 
Angalia sasa ....unataka kudanganya nani umeishi Nairobi na unasema easleigh na kariobangi ni slums????? Smh Nenda Mahali ulikotoka ....haujawai ingia kenya wewe
 
Angalia sasa ....unataka kudanganya nani umeishi Nairobi na unasema easleigh na kariobangi ni slums????? Smh Nenda Mahali ulikotoka ....haujawai ingia kenya wewe
Sasa nikisema nilisha kwenda nyumbani kwa Kenyatta ni kanywa chai si ndio utaenda malindi ukajirushe baharini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona aliepost hakusema ivyo....nigga I've read the post it was not like that
 
Ni taarifa tu. Na kwamba Dar itakuwa mji wa kibiashara Africa Mashariki na Kati. Ifikapo 2019. Baada ya STD gauge railway kumalizika.
Anael nafurahi sana ulivyo mzalendo sana, lakini ukweli naupenda hata kama unanigusa mwenyewe na nitausema daima.
Ukweli dar kuifikia Nairobi ni miaka 25 ijayo
 
Anael nafurahi sana ulivyo mzalendo sana, lakini ukweli naupenda hata kama unanigusa mwenyewe na itausema daima.
Ukweli dar kuifikia Nairobi ni miaka 25 ijayo
Ksh 1 =20tsh .....
20 years to go.....tomorrow haifiki tomorrow will be there,haifikiwi.....
 
Anael nafurahi sana ulivyo mzalendo sana, lakini ukweli naupenda hata kama unanigusa mwenyewe na itausema daima.
Ukweli dar kuifikia Nairobi ni miaka 25 ijayo
Toa maelezo. Kivipi?
1. Kiuchumi
2. Kiutamaduni
3. Majengo
5. Starehe
6. Barabara
7. Estates

Nataka utoe ufafanuzi, unibie kwa nini
 
Wanibugudhi na matamshi yako bana, kaongea kana kwamba Nairobi waijua kumbe ni mihemko tu.

About 80% of Nairobi cbd was planned and built from the late 60s to mid 80s after independence, by Kenyan technocrats fresh from learning abroad. The Nairobi wazungu waliacha and it's plan was a small and fledgling town. Cbd ilikua between kenyatta Avenue and haile Selassie road. Upper Hill was a forest, ngara and downtown an estate, na kina langata, buruburu, south b/C, etc were all uninhabited shrublands. Kibera was a slum for Africans then and was then at the border of Nairobi town coz wakoloni hawakutaka waafrika ndani ya jiji. Comparé that Nairobi with the current 1 ndio ujue wazungu waliplan a very small part

Nairobi just after independence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…