Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Mkuu huyo hamisa mobeto toka lini amechukua uraia wa kenya?nijuavyo huyo ni mbongo

punguza maswali mengi utapata pressure bure!!!! wanakuja kenya kupata professional pictures taken!!!!!!!!

unamfahamu huyu!!! kutoka tz!!







By #hamisa_mobeto "drunk in love ........ Am a model and this is what I do
No negative comments please
Thank you @buoart

 
km kupata picha tu sawa,hata hao wengine kwa % kubwa itakuwa wametoka nje ya kenya kwa ajili ya kupata picha,[emoji23] [emoji23]
 
km kupata picha tu sawa,hata hao wengine kwa % kubwa itakuwa wametoka nje ya kenya kwa ajili ya kupata picha,[emoji23] [emoji23]

Haahahhhhhhhhhhh! Duh, hapo mnauuwa wabongo! Lakini nathani hapa kuna mshikila sababu miss Kisii County hakai hivo kabisa, tuseme ni photoshop ya Uso wa mmoja toka sehemu za Mbeya ama Dodoma. Watoto hukju kwetu wameoga kaka
 
Mkuu huyo hamisa mobeto toka lini amechukua uraia wa kenya?nijuavyo huyo ni mbongo
Wakenya wanavyojua kujibaraguza na kujikuta wana wana warembo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Angalia anapoishi....

Pia Vanessa mdee amesomea kenya toka chekechea hado kidato cha nne .....
Acha uongo usiokusaidia mkuu

Vanessa Mdee alisomea tu shahada yake ya Sheria Catholic University huko Karen.

Mwanzoni alisoma USA.
 
Achana na mambo haya ya warembo mi nikitaka wakibongo si hoja kuchukua Mchaga hapa Isibania tu!! Ukubwa wa jiji, twasema Nairobi sahi ina CBD zaelekea nne, mbili zaonekana kwenye hii picha, Wabongo, leta picha yenye hadhi kama hii tuone.
 
km kupata picha tu sawa,hata hao wengine kwa % kubwa itakuwa wametoka nje ya kenya kwa ajili ya kupata picha,[emoji23] [emoji23]

wanakimbilia kenya kwa sababu Dar viwango vya picha ni chini mno kwa hivyo fikiria hayo....picha ya kiwango cha kimataifa Dar hamwezi lazima watu kimbilie Kenya...pathetic!!!

hawa warembo wakenya kaka utakoma!!!!
254.....





































 
km kupata picha tu sawa,hata hao wengine kwa % kubwa itakuwa wametoka nje ya kenya kwa ajili ya kupata picha,[emoji23] [emoji23]










huku watz mkiwinda zeru zeru mpate vigaja na kuwala, sie tunawapa heshima na kuwashirikisha katika peagent za kimataifa.....tafakali hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…