Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Mkuu hapo si wote warembo ila kama watano hivi nakubali ni visu

Ila pia nujulishe ni kwanini mabinti wengi wa kikenya (sio wote) huwa wanakuwa na komwe usoni na upara flani hivi?

Sanasana wakikuyu.
 
Yuko Mbeya yuatafuta ngozi ya Albino
Hahaha...hapana bana

Yaani tokea nilipomsikia yule Wanyonyi akijiita Mungu na kisha akapata na waumini kabisa niliwaona Wakenya ni hamnazo kabisa...!!!

Wewe pia ni muumini wake?

Nijibu sheikh,
 
Hebu weka na picha za Kibera [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Tanguliza na za Manzese uwanja wa fisi,Mwananyamala kwa kopa,Tandale,Mabibo,Magomeni,Golamboto hata za Mabatini huko Mwanza na Unga limited huko Arusha......
 
Acha dharau....arusha unaishusha hadhi kiasi hicho...hyo picha uliyoweka kwanza sijui ya mwaka gani...hizi ni picha chache zikionyesha maeneo mbali mbali ya arusha...!
 
Doesnt make sense arguing about girls in Here

Kenya Far outways all EAC ......simple

We all know Ethiopia Somalia Eritrea zimebeba warembo na Sudan pia

This are Cushitic People

Kenyas Cushite population = 9mn people this is Far larger than Eritrea and Djibouti populations Combined .....so hapo hata uniambie nini sitaamini kuna warembo TZ ....nani amewai kaa chini kuwatch News alafu walete story juu ya Marsabit ama Turkana ama Isiolo Utaona dem Mreeeeembo [emoji7] mpaka ushangae....!!!! Na ako tu like nothing is Happening around ako outchea being cute and shit[emoji7]


Bado hatujaenda Central Rift Coast!!!....shiiiiiet!!
 
Tanguliza na za Manzese uwanja wa fisi,Mwananyamala kwa kopa,Tandale,Mabibo,Magomeni,Golamboto hata za Mabatini huko Mwanza na Unga limited huko Arusha......
Hujajibu swali langu nyang'....a..uuu,

Unamwabudu mungu wa Kenya yule Wanyonyi?
 
Be reminded that second phase is under discussion. The phase consist the popolous place of Mbagala and Gongolamboto. Stay tuned!
 
Be reminded that second phase is under discussion. The phase consist the popolous place of Mbagala and Gongolamboto. Stay tuned!
 
Ha ha ha ha. Nimrmecheka sana. Yaani hiyo miji takataka kabisa hata Moro, Iringa wala Moshi hawaifikii halafu ndo ufananishe na Arusha. Are you seriuos?
 
Edward wanjala unaongea mashudu sasa .....Arusha unaifananisha na bungoma....??ulimaliza secondary school kweli ww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Usituharibie Uzi wetu bana
 
Ha ha ha ha. Nimrmecheka sana. Yaani hiyo miji takataka kabisa hata Moro, Iringa wala Moshi hawaifikii halafu ndo ufananishe na Arusha. Are you seriuos?
Mkuu usihangaike na huyo nyang'au,
Nyang'au huwa zinaact kama zombie vile,
Halafu bado huwezi fananisha Iringa na hivyo vitu vya Kijinga toka Kenya.
Hebu ona hii iringa. Mji mdogo tu Tz.


That's Iringa , my home town.
 
Game Over....Sasa unafananisha choo kama Iringa na Kenyan cities...Namna gani wewe??One street town???Actually centre????Be serious nawe#!!
 
Edward wanjala unaongea mashudu sasa .....Arusha unaifananisha na bungoma....??ulimaliza secondary school kweli ww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Usituharibie Uzi wetu bana

Arusha is a little town we nawe...You and I know it that Arusha is just that.it's a little town nestled by Mt Meru.
 
Arusha is a little town we nawe...You and I know it that Arusha is just that.it's a little town nestled by Mt Meru.
Sasa lil town ndio kwa kuifananisha na bungoma? ? Ni lil town ukifananisha na big one like Dar or your nai
 
Sasa lil town ndio kwa kuifananisha na bungoma? ? Ni lil town ukifananisha na big one like Dar or your nai

Sasa umeongea vitu vipi???You are going round in cycles mara lil mara big ....si utulie dawa ikuingie sheikh!Vipi nawe???
 
































Joho has completely figured out how to run a county.







 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…