Dar es Salaam kuelekea mchezo wa Simba na Plateu United

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Kuelekea mchezo wa Marudio kati ya simba na plateu ya Nigeria kombe la Klabu bingwa Afrika.

1. Aishi Manula.
2. Shomari Kapombe.
3. Mohamed Hussein.
4. Pascal Wawa.
5. Joash Onyango.
6. Erasto Nyoni.
7. Benard Morison.
8. Jonas Mkude.
9. John Boko.
10. Clotas Chama.
11. Lusi Misquison.

SIMBA KUIBUKA NA USHINDI WA MAGOLI 3- 0

wale wataalam wenzangu kama GENTAMYCINE utabiri wenu ni muhimu tunausubiri sana......
 
Mohammed Hussein
Kwakua ana kadi ya njano si vema akacheza hii mechi.
 
Kwakuwa Jamaa wakija Dar es Salaam wanakuja 'Kujilipua' namaanisha kuja 'Kushambulia' mwanzo mwisho kwakuwa hawana cha Kupoteza nashauri Kikosi cha Simba SC kibadilishwe kidogo ili 'Kuwachanganya' haraka kisha tukishapata matokeo ya Kutuvusha ( Ushindi ) basi Kikosi kibadilishwe dakika 30 au 15 za mwisho.

Napendekeza Siku hiyo Kikosi cha Kuanza kiwe hiki hapa na ambacho nakiweka hapa.....

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Zimbwe Jr
4. Joash Onyango
5. Pascal Wawa
6. Jonas Mkude
7. Hassan Dilunga
8. Clatous Chama
9. Meddie Kagere
10. John Boko
11. Luis Miquissone

Tukishashinda angalau Mabao Mawili au Matatu na kubakia dakika 30 au 15 nashauri Kikosi kibadilike ( kuwe na Mabadiliko ) na kiwe hivi

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Zimbwe Jr
4.Joash Onyango
5. Pascal Wawa
6. Jonas Mkude
7. Erasto Nyoni
8. Larry Bwalya
9. John Boko
10. Clatous Chama
11. Bernard Morisson

Yangu ni haya tu Mkuu.
 
wananchi bila kukosa tutakuwepo

Mnacheza na ndugu yetu
 
Plateau wakifungwa ndani nje na hawa wazee litakuwa jambo la kushangaza sana
 


Vipi Matokeo na wafungaji mkuu??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…