BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Tarehe 4/4/2023, Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, Mheshimiwa JOHN MASHAURI NGEKA amemhukumu Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Sigara Buza Temeke Philemoni Shabaha Gotta kwenda jela miaka miwili na kulipa fidia ya Tshs 1,300,00/=.
Mwenyekiti alituhumiwa kwa kumpiga na kumjeruhi Samwel Mpoi aliyefika ofisini kwa mwenyekiti huyo kudai mali zake Subwoofer na Tv vilivyozuiliwa hapo kama dhamana ya malipo ya Tshs 900,000/=.
Kupiga ni kosa na kujeruhi ni kosa.