julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,081
- 4,224
Nimeona wale vijana wa makachu wamekuja Coco beach.
Wazo langu naishauri wilaya ya ilala pale pangeboreshwa pakawekwa ngazi na retaining wall na pakasafishwa .
Pakiwa promoted ufalme wa Zanzibar utahamia Dar pale patakua kama Forodhani.
Afisa utalii changamkia fursa hii
Wazo langu naishauri wilaya ya ilala pale pangeboreshwa pakawekwa ngazi na retaining wall na pakasafishwa .
Pakiwa promoted ufalme wa Zanzibar utahamia Dar pale patakua kama Forodhani.
Afisa utalii changamkia fursa hii