Dar es salaam the modern and sweetest city in East Africa (i enjoyed my stay)

bro huyu ni mtanzania anatudanganya hapa...jiulize mbona alileta habari za Tanzania kwa bustani ya Kenyan News...hio ni tabia ya kina Geza, Redeemer, Kilam..
Meza vidonge hivyo, mnasema anaongea English ya Tanzania eti they have straight English than Tanzanians hamjui hawana hata miaka 10 tokea waswitch off from French to English.
 
Thenk yuu but which ubungo are you toking about?? this this ubungo or ubungo another?
hahahaaaa. The English of here in JF is very very Fantastic, i read it till i start to lough myself like crazy.
 
ungeandika tu na Kiswahili
 
ungeandika tu na Kiswahili
Hakuna mtanzania ambaye angesumbuka kuandika kwa kiingereza maelezo marefu kiasi hiki, hata kama yupo vizuri katika kiingereza, pia hakuna mtanzania angetaja neno la Ubungo flyover wakati ndiyo kwanza limeanza kujengwa, huyu ni mgeni amechanganya ile BRT pedestrians bridge na flyover, vyote vipo ubungo, na mwisho, sio rahisi kwa mtanzania kusema Tanzanians are lazy.
 
bro huyu ni mtanzania anatudanganya hapa...jiulize mbona alileta habari za Tanzania kwa bustani ya Kenyan News...hio ni tabia ya kina Geza, Redeemer, Kilam..
Kenya news inatumika kama EAC news ndo mana kaiweka hapa ukitaka habari ifike EAC ni vizuri kutumia Kenya news
 
Are a researcher or tourist,,? seems like all you you've doing in dar es salaam is observing everything.. Mmmmh you should as well visit ather cities in Tanzania like mwanza or mbeya they are as well nice.. Enjoy your staying in dar lady [emoji147] [emoji147]
 
Hujui chenye unasema...ati nairobi ni older than Dar..pitia historia ya class 4 kwanza.
Hayo ndiyo maoni ya watanzania na huyu dada pia ameona hivyo, kwamba ukilinganisha Nairobi na Dar. inaonekana Nairobi ni old city, ninajua wakenya hawapendi kusikia hilo na watajaribu kujitetea, ni haki yao kufanya hivyo, kama ambavyo wakenya wanasema Tanzanians are lazy, watanzania nao hawapendi na watajaribu kujitetea, lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kwa pande zote mbili.
vp kazi umepata lakini maana ulisema unataka uje kuzungusha CV mkuu
 
Kama unaniuliza mimi, jibu ni kwamba nimepata juzi kati hapo, kuna mwana jamii forum alinitafuta akaniajiri.
 

First things first, huyu sio Mkenya wala Mnyarwanda alivyotaka kutudanganya, ni mbongo tu wa kawaida, hakuna mrwanda anasema flied chiken mkuu, PERIOD. amesema hapo juu kuwa kigali mwisho wa kutoka njee ni saa tatu, nikacheka tu, hakuna haja ya kudanganya watu aise, hujafika Kigali wala Nairobi kama unasema we have old fly overs and interchanges wakati huwa tuna launch hizi barabara za juu kila baada ya miezi kadhaa.

Binafsi nimekuwa Tanzania kwanzia August, nimerudi Nairobi probably 2 weeks back, nimekuwa nikifanya consultancy pale PSPF, jumba la Golden Jubilee 11th na 13th floor. Nimefanyia serikali ya Rwanda pale Rwanda Development Board Kigali, kazi miaka mbili consultancy nikija Nairobi twice every month kwa kuwa kazi hiyo ilikuwa very sensitive and urgent.
uganda, Ethiopia (nilikuwa feasibility study huu mwaka), somaliland (Hargeisa pia nikifanya consultancy) na Burundi pia nina mizizi na bado tunapasua zaidi. Mimi si mgeni kabisa nchi yoyote East Africa, Kabsaaa..

Experience yangu ya Bongo huwa nzuri sana, kwa kuwa nikama home tu. nikiwa dar lazima nipitie samaki samaki Dar pale Diamond plaza coz that's the only good restaurant that serves beer at all hours na kuna wifi, usije ukadanganywa na yeyote kuwa utaingia kwa any restaurant ama public transport upate wifi kama Kenya ambapo wifi iko kila pahali. accomodation is very affordable, Uber kule bado haijakubalika sana, unaeza ukangoja sana kabla upate gari, chakula chao kizuri, madame kama kawa huwa wantupenda ballers kutoka Kenya, hio haina ishu.

I advice all you young folks, both Kenyans and Tanzanians, who religiously come here for your daily dick measuring contests, Instead of creating rifts and hate between each other, you can build connections and do businesses far beyond your thoughts. We have alot going on for our countries, please don't be left behind, let no one lie to you that the other side hates you. Jaribu kujuana na hawa ndugu zetu kutoka pande zote, jaribu kuangalia opportunities zilizokuwepo na vipi tutazichangamkia, that is the East African spirit. Lets Build, Not Destroy.
 
Umeandika vizuri sana insha yako, ila ninahisi point zako ulizotumia kumkatalia huyu dada kwamba sio mnyarwanda ni nyepesi sana hazina nguvu, flied is purely typing error, hivi kwanini wakenya mpo very sensitive kiingereza kikikosewa kuliko kiswahili?, mbona tunaboronga sana kiswahili, hata typing errors nyingi tu zinatokea wakati tunaandika kiswahili hamsemi ila Kiingereza mnaumia sana?, huyu dada alifanya typing error kwa sababu kama hili neno lingejitokeza mara tatu na akarudia hilo kosa hapo ulikuwa na haki ya kusema hivyo.

Pili kuhusu flyover za Kenya, yeye ni mtazamo wake alivyoziona huko Kenya, kwa hiyo kama wewe mtazamo wako ni tofauti ni sawa tu kuutoa, lakini usimuondolee uraia wa nchi yake kwa sababu tu ana mtazamo tofauti na wako. Yeye anasema kwao Kigali baada ya saa tatu usiku ukitembea ujiandae kukutana na polisi na watakusimamisha mara kwa mara, wewe hili unakataa halipo, basi na wewe ukubali kwamba hizo flyover unazodai zinazinduliwa kila maada ya miezi kadhas pia hazipo ni uongo.
 

Usijisumbue kuwaeleza hawa watu kuhusu the issue of "old on the outside and young on the inside". hawata kaa kukuelewa kwa sababu ya exposure. Nimegundua most of Kenyans in here have no enough exposure. They have a narrow exposure confined to their confort zone Nairobi. Ukiongelea kidogo tu kuhusu nje ya Nairobi utashangaa. hawajui kitu. Wanapiga kelele sijui middle income, sijui best in Africa. wakuna nchi kama Botswana, Namibia na sasa Angola wako mbali kwa kila kitu kwa mbaali sana lakini wako kimya, hawako comic kama hawa jirani zetu waliofuta uchaguzi.

Nairobi is the old school, kama vile ilivyo London, Paris na hata New York, ziliwika na kung'ara sana kipindi hicho cha nyuma, lakini kwa sasa huwezi linganisha na Dubai imejengwa kisasa na majengo ya kisasa. Kina Paris wamebakia kama meuseums, ndivyo ilivyo Nairobi, umebakia kuwa mji wa kihistoria, huwezi linganisha na a fast modern growing city.
 

hahaha mkuu, hauwezi kuwa na typing error badala ya fried ukaandika flied chiken, it simply cant happen, hapo hakuna typo, ni adhari za lugha yake ya kila siku mkuu, jamaa mbongo tu, alafu jina Roselina John, hahahaha aise hapo itabidi tu ukubaliane na mimi. Rwanda polisi hawasimamishi watu barabarani usiku mkuu, mbona unakubali kudanganywa? Alafu huyo jamaa atuambie wapi kuna fly over kuukuu, itabidi nikitoka ofisini naeza piga picha leo ni post kisha tujadili mada kiukweli sio rongorongo.
 

Eliakeem, mimi nimezunguka kote east africa, hadi kule watu huwa wanaogopa kuenda, I still say that Nairobi is the best city in east africa, na sisemi hivyo kwa kuwa mimi ni Mkenya bali enviroment ya Nairobi iko poa sana.
 
Mkuu agiza tena bia nakuja kulipa hapo samakisamaki..andiko lipo vizuri..big up
 
Hakuna mtazania atakayesema kuna flyover ya ubungo, kwasababu watanzania wote wanajua ubungo hakuna flyover ndiyo inajengwa sasa hivi, pia hakuna mtanzania atakayewaita Tanzanians are lazy, hiii inaonyesha huyu ni mgeni, typing error maana yake unakusudia kuandika herufi ingine lakini unaandika engine, inatokea kwa bahati mbaya, ingejirudia ndiyo ungesema usemavyo. Huyu binti aliyosema ni ya kweli sana, japo amewaumiza sana wakenya, lakini hata watanzania wameumizwa kwa kuitwa lazy, ninaomba tu uwe mpole, lisemwalo lipo kaka, Nairobi is the old city, and Tanzanians are lazy.
 
Am from Rwanda I know them
Inaelekea unajua sana kuswahili,tena kile fasaha nacho umejifunzia hapahapa kwe2 au....
Afu nmekupenda bure yani..
If you're still in town, plz kuja area zangu nkuzungushe maeneo mengne beautiful kuliko hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…