Dar es Salaam to Cape Town with Public Transport - 1999

Dar es Salaam to Cape Town with Public Transport - 1999

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
MWAKA 1999 SAFARI KUTOKA KILWA DSM KIGOMA ZAMBIA HADI SOUTH AFRICA



Kilwa mpaka DSM kwa usafiri wa basi halafu Reli ya Kati urefu kilometa 1200 Dsm Kigoma, lake Tanganyika , MV Mwongozo, Tanzania DR Congo, Burundi na Zambia nchi hizi zina fukwe za ziwa Tanganyika pia mipaka yake ipo ndani ya ziwa hilo.

Zambia, Zimbabwe hadi miji ya Pretoria na Cape Town iliyopo Afrika ya Kusini.

Source: Neil Shaw
 
Naomba kujua asili ya jina tanganyika
Nani alibuni hilo jina? Linamaana gani? Na ninani aliamua kuita ziwa la huko magharabi jina tanganyika?
 
Ulikuwa ni utalii bora sana.Unajifunza jiografia kwa vitendo.Umebakiza kutembelea pyramids za Al-Masr tu.
 
Back
Top Bottom