Dar es Salaam: TRA kinara uandaaji wa hesabu

Dar es Salaam: TRA kinara uandaaji wa hesabu

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
dcg NBAA.jpg
Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Mcha Hassan Mcha akipokea tuzo ya mshindi wa jumla kwenye uandaaji wa hesabu za kifedha zinazozingatia viwango vya kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya Umma (IPSAS) na Sekta za Kibiashara (IFRS) kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Serikali, CPA. Benjamin Mashauri. Tuzo hizo zimetolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) usiku wa Tarehe 29/11/2024 APC Bunju jijini Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom