Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam.
Zimenifikia habari za uhakika kwamba kuna viongonzi wa dini wamefanikisha kuwakutanisha wawili hao kwa mazungumzo muhimu kuelekea uchaguzi mkuu mwenzi Oct kama utakuwepo na kauli mbiu ya chadema 'no reform no election'. Inaelezwa baada ya jitihada kubwa hatimae viongozi hao wamefanikiwa kuwakutanisha.
Wataamua na kukubaliana mambo gani haijamika bado mpaka mazungumzo hayo yatapofanyika.
Mungu ibariki Tanganyika.
Zimenifikia habari za uhakika kwamba kuna viongonzi wa dini wamefanikisha kuwakutanisha wawili hao kwa mazungumzo muhimu kuelekea uchaguzi mkuu mwenzi Oct kama utakuwepo na kauli mbiu ya chadema 'no reform no election'. Inaelezwa baada ya jitihada kubwa hatimae viongozi hao wamefanikiwa kuwakutanisha.
Wataamua na kukubaliana mambo gani haijamika bado mpaka mazungumzo hayo yatapofanyika.
Mungu ibariki Tanganyika.