Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Wewe mjaluo na una govi
Hamna mtanzania wa hivyo

umeonaje uume wangu? nilikua nakufanya nini mpaka ukapata experience ya uume wangu kuwa una govi??

wewe ni mmoja kati ya watu mnaosababisha watanzania wote tuonekane viazi.
 

Nimewaambia mara nyingi Dar itachukua muda mrefu sana kufikia level ya Nairobi, yaani hapa nikianza kuorodhesha mambo yanayofanyika Nairobi nitapoteza muda mwingi sana. Nairobi sasa hivi ipo inan'gan'gana na miji mikubwa kama ya Afrika Kusini maana huko ndio ligi yake. Hapa EAC hatuna muda napo kabisa, nyie ndio mfuate nyayo zetu mje huko nyuma.

Nakuacha na mradi mmoja ambao tayari unafanyika na unategemewa kukamilika huu mwaka, cheki simulation yake hapa chini.... Halafu miji ingine ya Kenya inakuja kwa kasi, juzi nimeona presentation ya Mombasa, ambayo sasa ndio inaweza kupimana na Dar.

 
Just like i said......ni barabara na flyovers tu. Hapo kwa kweli mmetuacha. Lakini mambo mengine not so much.
Alafu ebu ututake radhi utalinganishaje Dar na Monbasa??
 
umeonaje uume wangu? nilikua nakufanya nini mpaka ukapata experience ya uume wangu kuwa una govi??

wewe ni mmoja kati ya watu mnaosababisha watanzania wote tuonekane viazi.
Asilimia 60 ya nyie wakenya wote mna magovi, kila mtu anajua hilo.Wewe unajifanya mtanzania hata Dar hiyo utakua hujafika ndio maana umekazania Nairobi
 
Usibishane na huyo ni Mkenya anajifanya mtanzania
 
Asilimia 60 ya nyie wakenya wote mna magovi, kila mtu anajua hilo.Wewe unajifanya mtanzania hata Dar hiyo utakua hujafika ndio maana umekazania Nairobi

mkuu nilikua nakufanya nini mpaka ukapata expirience ya uume wangu??

wewe ni mmoja kati ya watu mnaosababisha watanzania wote tuonekane viazi.
 
Just like i said......ni barabara na flyovers tu. Hapo kwa kweli mmetuacha. Lakini mambo mengine not so much.
Alafu ebu ututake radhi utalinganishaje Dar na Monbasa??

Nairobi beats Dar on almost everything, hamna cha ushindani hapo na ni kupoteza muda kwa Dar kujitututumua na kujilinganisha na Nairobi.
Tatizo umekwamia hapo vitongoji vya Dar, hutaki kutoka hivyo inakua vigumu kubishana nawe kwa hoja lakini pia unafaa unasoma soma makala kama haya hapa What makes Nairobi Africa's 'most intelligent' city - CNN.com
Ili kujifahamisha kabla hujahangaika kulinganisha.
 
Acha maneno waka muziki


Sehemu yeyote yenye maji Daima kutaonekana kuzuru kuliko pasipo na maji.

Kwa hili nikimaanisha Dar panaonekana kuzuru kuliko Nairobi ajili ya bahari ya Hindi.

Hata na hivyo Dar ina uzuri wake kwa vitu fulani na Nairobi inauzuri wake kwa vitu fulani .
 

mkuu pole kwa kubishana na hawa wajinga
 
Hahhaa...kwa taarifa yako nimekaa Nairobi miaka minne sehemu moja inaitwa Hurlingham kwa hiyo najua mazuri ya Dar na mazuri ya Nai.
Najivunia majiji haya mawili.....ni fahari kwangu kama mwana Afrika Mashariki.
Jua kwamba by 2030 Africa will only have six cities that have attained megacity status by global standards: Kinshasa, Luanda, Johannesburg, Dar es Salaam, Lagos and Cairo.
Also, no African city will surpass Dar in terms of lifting people out of poverty.....Dar itaongoza in minting millionaires and middle incomers.
 
wewe ni mmoja kati ya watu wanaosababisha watanzania wote tuonekane viazi.
mchambuzi unazeeka vibaya mkuu,nadhani ule ukongwe wako hapa jf umekudumaza akili.

tazama hapa chini huyu dogo wa kikenya anavyo kutusi mkuu.

yupo sahihi, "koma kujipendekeza kwa wakenya".

hahahahaha...kakupa za uso mujarabu.


ligi ya watz vs wakenya mtuachie sisi magwiji ndio tunaoweza kuwamudu.


Ujinga na udhaifu wa ***** usiulete huku.Pumba na kujipendekeza kwa Wakenya ni huko kwenu.
Usilinganishe Dar na utumbo wowote wa Afrika mashariki.
 

ignore matusi yake jikite kwenye mada,

kati ya dar na nairobi wapi kumejengeka kimaendeleo zaidi?? Jibu ni Nairobi.

mnasababisha watanzania wote tunaonekana viazi.
 
ignore matusi yake jikite kwenye mada,

kati ya dar na nairobi wapi kumejengeka kimaendeleo zaidi?? Jibu ni Nairobi.

mnasababisha watanzania wote tunaonekana viazi.
acha kujipedekeza kwa wakenya ndg.wenyewe hawataki mtz ajipendekeze kwao.
 
acha kujipedekeza kwa wakenya ndg.wenyewe hawataki mtz ajipendekeze kwao.
kuwa mkweli kwa nafsi yako,

kati ya Nairobi na Dar ni wapi kulikojengeka kwa maendeleo zaidi??

wewe ni mmoja kati ya watu wanaosababisha watanzania wote tuonekane viazi kama wewe.
 
Hongereni Nairobi under makaburu back up...sisi tuliwafukuza tukajenga wenyewe...
 
kuwa mkweli kwa nafsi yako,

kati ya Nairobi na Dar ni wapi kulikojengeka kwa maendeleo zaidi??

wewe ni mmoja kati ya watu wanaosababisha watanzania wote tuonekane viazi kama wewe.
naona unahamishia kwangu hasira zako za kutukwanwa na kudhalilishwa na yule dogo wa kikenya.aibu sana kujipendekeza kwa mtu halafu anakupa za uso....

Mimi nisingekubari...."ningekinukisha" mpaka thread ingefutwa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kuwa mkweli kwa nafsi yako,

kati ya Nairobi na Dar ni wapi kulikojengeka kwa maendeleo zaidi??

wewe ni mmoja kati ya watu wanaosababisha watanzania wote tuonekane viazi kama wewe.
Wewe ni mkenya!!

2.5m ya wakazi wa Nairobi wanaishi kibera.
Nairobi ina wakazi wasiozidi 3.4 m,
3.4-2.5= 0.9..
Kwaiyo sehemu nzuri ya Nairobi hukaliwa na wakazi 900000, na humo bado sijatoa slums nyingine za Nairobi..
Kenya ina wenyewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…