kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 258
Sina shaka mtakubaliana nami kwamba timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Cameroon ya akina Roger Milla ilikuwa timu bora na yenye mvuto wa kipekee. Akina Omam Biyik, Fede, Mboumboh, Emmanuel Kunde, Makanaky. Si mchezo! Na ndio maana hata gwiji la muziki Kabaselle ya Mpanya jitu la miraba minne Pepe Kalle aliliona hili akatunga wimbo wa Roger Milla.
Hakuishia hapo kwa utambuzi wake pia aliiona timu nyingine machachari na tishio ya Tanzania si nyingine ikiwa imeshawahi kuwa Mabingwa wa Tanzania, Africa Mashariki na Kati. Nisikumalizie uhondo tumsikilize gwiji huyu. Ijumaa njema....bonyeza hapo
''http://www.youtube.com/v/Te1oxYJNjp4''
Hakuishia hapo kwa utambuzi wake pia aliiona timu nyingine machachari na tishio ya Tanzania si nyingine ikiwa imeshawahi kuwa Mabingwa wa Tanzania, Africa Mashariki na Kati. Nisikumalizie uhondo tumsikilize gwiji huyu. Ijumaa njema....bonyeza hapo
''http://www.youtube.com/v/Te1oxYJNjp4''