Dar- Full Kujiachia!!!

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
2,257
Reaction score
363
Mhhh, kweli bongo New York siku hizi, hizi biashara huria zitatufikisha pabaya!
 

Attachments

kana ka nsungu,mbona hujafafanua hoja yako,biashara ipiu huria inayofanywa huko dar?
 
Kweli kiroboto....Mkuu weka mambo hadharani ingawa najua kweli wabongo kwa ku-copy na ku-paste hatujambo vingine huwa tunachemka kishenzi..
 
KK,
Ahsante kwa taarifa hizi mkuu.. sikujua kwamba hili jiji limefika pabaya kiasi hiki! Duh?
Wanacheza uchi afu kwa malipo ya 100,000/=madafu!!!
Sijui ni umasikini au ndo kuchoka na maisha!!
Tukemee vikali matendo kama haya kama ambavyo tunaukemea UFISADI, Ushirikina n.k!
 
Kiroboto and Kipanga- see the attachment at the bottom of my post.
 
Mkuu attachment imegoma kufunguka but napata picha ya kile unachozungumza...In short jamii imekuwa spoilled kiasi kwamba unashindwa kuelewa kama baadhi ya mambo yanayofanyika binadamu husika ana akili timamu au la!!! Inasikitisha na sitaki kuamini kuwa hata huko mamtoni ndivyo wafanyavyo kuna kaujinga fulani kwa watu wetu.

Kuna haja kuwa na sheria zitakazo wabana watu watakaobainika kufanya mambo ya kishenzi hata kama ni mtu mzima beyond 18 years.Kwa mfano kuna utitiri wa vi-night club uchwara siku hizi na bar zinazohudumia mpaka usiku mbaya ukipita hizo sehemu hutaamini utakachoona ni uchafu mtupu au ndio utandawazi???

Nchi inafilisiwa na mafisadi watu wengine wako busy na mambo ya kishenzi...
 
jamani mimi nimefanikiwa kuifungua na nimewawekeeni kwenye pdf so kazi kwenu pia waweza tembelea HAPA kwani mtoa hoja alikocpy na kupaste toka huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…